Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachawa tena ka damu ya mzee kama wale chawa wa zile za VIP wanafuata rangi ya pindo lake na rangi yake inakua ivo ivo. Bora chawa mweusi wa kwenye nywele nyeusi kichwani hana kigeugeuHaka ni kachawa kadogo kanawinda uteuzi Kwa nguvu zote. Ona kalivyo kajinga na ka hovyo kabisa.
Kuna vitu muhimu zaidi kuliko Katiba, kubali au kataa
Bado nawashangaa sana watu waliokuwa wanaibeza Royal Tour na kusema kwamba Rais Samia Suluhu anapoteza muda bora katiba. Mimi nafikiri sasa watanzania tunapaswa kutambua kuna vitu vya muhimu zaidi kuliko katiba, hivi royal tour ingefanyika saa ngapi kama mama angeanza na katiba? Hivi mnahisi...www.jamiiforums.com
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.
Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.
Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.
Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Tozo sio mzigo, bila tozo baadhi ya miradi ya kimaendeleo haiwezi kutekelezeka, keep that in mind.
Tozo sio mzigo, bila tozo baadhi ya miradi ya kimaendeleo haiwezi kutekelezeka, keep that in mind.