Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Ni sheria ipi ilianzisha tozo na ni ipi inafuta tozo?Tozo zipo kisheria na ndio zinasaidia kuleta maendeleo kwenye maeneo mbalimbali nchini. Miradi inakamilika, shule zinajengwa, vifaa vinanunuliwa hopsitali kwa kutumia tozo. Tozo kwa maendeleo.
Unasumbuka na headless chicken zuzu wafuata upepo wasio na stance ya kutetea hoja na kuisimamia. Wao hufollow na kutetea chochote kiongozi wa chama ama serikali pasipo kuhojiKabla ya kuniuliza hilo swali; unafafamu kwanza tofauti iliyopo kati tozo na kodi?
Yaani ccm inastawi kwasababu ya idadi ya watu kama wewe. Hizo tozo zilipitishwa na kutekelezwa na nani na sasa nani amezifuta?Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.
Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.
Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.
Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Bila kuondoa chanzo cha tatizo, yaani Mwigulu, bado wanatwanga maji kwenye kinu🙄Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.
Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.
Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.
Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
Haka ni kachawa kadogo kanawinda uteuzi Kwa nguvu zote. Ona kalivyo kajinga na ka hovyo kabisa.Yaani ccm inastawi kwasababu ya idadi ya watu kama wewe. Hizo tozo zilipitishwa na kutekelezwa na nani na sasa nani amezifuta?
Acha kupongeza wanachotakiwa wahusika ni kung'oka kwenye nafasi zao hatuwezi kubembelezana kiasi hiki.Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.
Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.
Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.
Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
nitajie hiyo sheriaTozo zipo kisheria na ndio zinasaidia kuleta maendeleo kwenye maeneo mbalimbali nchini. Miradi inakamilika, shule zinajengwa, vifaa vinanunuliwa hopsitali kwa kutumia tozo. Tozo kwa maendeleo.
Huna akiliTozo sio mzigo, bila tozo baadhi ya miradi ya kimaendeleo haiwezi kutekelezeka, keep that in mind.
Chawa kazini !!Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imetangaza kufuta tozo tatu za miamala ya kieletroniki kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu.
Naipongeza serikali kwa kuwa sikivu na kuja na marekebisho yaliyowezesha kufutwa baadhi ya tozo. Aidha, naungana na wasomi na wabunge walioshauri kuangalia namna ya kuongeza wigo wa walipa kodi nchini, kwani ukweli ni wkamba wanaolipa kodi ni wachache kuliko wanaostahili.
Pia kama Watanzania tunapaswa kutambua kwamba hakuna nchi inayoendelea bila kutoza kodi watu wake hivyo tujitahidi kulipa kodi na tozo ili tupate maendeleo tunayoyahitaji.
Hata misaada inayotolewa na nchi washirikia wa maendeleo inatokana na kodi za wananchi wake, hivyo Watanzania wote wanapaswa kujenga utamaduni wa kulipa kodi ili fedha zake zitumike kuwaletea maendeleo.
Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe. Kazi Iendelee kwa sababu Mama Yuko Kazini.
una uwezo mdogo sana !Tozo sio mzigo, bila tozo baadhi ya miradi ya kimaendeleo haiwezi kutekelezeka, keep that in mind.