Hongera Serikali kwa kufuta Law School. Sasa fanya na haya yafuatayo tafadhali. Utapendwa upendo wa kutoka moyoni na 85% ya wa Tanzania

Hongera Serikali kwa kufuta Law School. Sasa fanya na haya yafuatayo tafadhali. Utapendwa upendo wa kutoka moyoni na 85% ya wa Tanzania

Sheria gani ya Law School imefutwa?
Kwamba Law school haipo tena??
 
Pole sana mkuu hebu tupe kisa chako tujifunze
Yamemkuta baba yangu.
Naamini kama isingekua Mfumo wa elimu wa Tanzania wazazi wengi wangekua mbali sana kimaendeleo

Hii ni Bajeti ya Mzazi mwenye watoto wawili na anawasomesha mpaka chuo kikuu.

Chekechea miaka miwili wastani wa ada -900,000 TSh kwa mwaka hapo ni wastani tu na ni nche ya Usafiri.
900,000 X2=1,800,000

Msingi
7X 2,000,000= 14,000,000

Secondary
4X3,000,000=12,000,000

Advance
3,500,000x2=7,000,000

Chuo
3x4,000,000=12,000,000

Total 46.8 Milions kusomesha tuu mara 2 kama una watoto wawili ni 93.

Umemaliza kusomesha umechoka huna kazi mtoto hana kazi mnaanzakukasirikiana home.
 
Utaratibu mpya wa kumpata wakili kwa sheria mpya ukoje? Je ukimaliza LLB unakuwa automatically wakili au wanarudisha bar examination?
 
Mtoto kuanza shule miaka mi4,,,hapana
Mtoto wa chuo kikuu amalize akiwa 17,,hapana
Kutoka form 4 kwenda chuo,hapana
 
Umeanza vizuri mpaka ulipotaka kumuingilia binti wa miaka 14 kwa kigezo cha kuvunja ungo. Mbona husemi kijana wa miaka 12 apewe majukumu ya kutunza familia sababu kaanza kumwaga manii?
 
Mfano engineer anasoma PCM form five na six kumwaandaa kuchukua digrii

Huwez9 chukua mtu kamaliza form four ukapeleka digrii ni msuaji semester ya kwanza tu atafeli.masomo yote
Ndio maana nimesema watakao pata division 1 ndo waende chuo. Vitu vya 5 na 6 vinaletwa O-level
 
Hujaelewa hata Uzi masikini. Najua una mtoto wa kike. Don't take it personal. Ukweli ni kwamba wewe pamoja na ukali wako wote lakini hauwezi kumzuia binti yako mwenye umri wa miaka 14 asiwe na boyfriend.

Unacho weza kufanya ni kumchelewesha tu badala ya kuanza na miaka 12 at least aanze na 13 au 14.

Endelea kumuona mtoto hivyo hivyo. Utakuja kuukumbuka huu uzi
Suala siyo kuwa na boyfriend wakanukishana mikojo. Suala ni wewe mtu mzima kutaka uhalali wa kumpa fistula binti wa miaka 14.
 
Ntakutumia link, sio tangazo mkuu ni sheria mpya imekuwa passed, Law School act ya 2007 imekuwa repealed.
Nini cha tofauti kati ya hizo sheria mbili?
 
Yamemkuta baba yangu.
Naamini kama isingekua Mfumo wa elimu wa Tanzania wazazi wengi wangekua mbali sana kimaendeleo

Hii ni Bajeti ya Mzazi mwenye watoto wawili na anawasomesha mpaka chuo kikuu.

Chekechea miaka miwili wastani wa ada -900,000 TSh kwa mwaka hapo ni wastani tu na ni nche ya Usafiri.
900,000 X2=1,800,000

Msingi
7X 2,000,000= 14,000,000

Secondary
4X3,000,000=12,000,000

Advance
3,500,000x2=7,000,000

Chuo
3x4,000,000=12,000,000

Total 46.8 Milions kusomesha tuu mara 2 kama una watoto wawili ni 93.

Umemaliza kusomesha umechoka huna kazi mtoto hana kazi mnaanzakukasirikiana home.
Inasikitisha sana mkuu ndio maana kila siku nawafundisha watu humu jamvini, acheni kupoteza mamilioni kujistress kusomesha watoto shule za English Mediums, wapelekeni Kayumba muwasimamie watafika tu chuo Kikuu. Hizo pesa wekezeni kwenye maendeleo. They just love the illusion of " My son /daughter will be a pilot, doctor or engineer"
 
Suala siyo kuwa na boyfriend wakanukishana mikojo. Suala ni wewe mtu mzima kutaka uhalali wa kumpa fistula binti wa miaka 14.
According to science, Mtoto wa miaka 14 ana akili sawa sawa na mwanaume wa miaka 65.

Mwenzako sina hata 40.
 
According to science, Mtoto wa miaka 14 ana akili sawa sawa na mwanaume wa miaka 65.

Mwenzako sina hata 40.
Na ukute unaitwa uncle na kukaribishwa nyumba zenye watoto wa miaka 14 waliokuzidi umri.
 
Umeanza vizuri mpaka ulipotaka kumuingilia binti wa miaka 14 kwa kigezo cha kuvunja ungo. Mbona husemi kijana wa miaka 12 apewe majukumu ya kutunza familia sababu kaanza kumwaga manii?
Mkui, miaka ya 90 nilikuwaga jambazi, section yangu ilikuwa dereva. Ilikuwa tukienda kwenye eneo la tukio, halafu baada ya tukio ukachelewa kuingia ndani ya gari hata kwa sekunde moja tu, basi nilikuwa nakuacha.Niliwaaacha zaidi ya watu 40. I hate slow people. Wewe pia ningekuacha na ungekuwa marehemu now cause ur very slow. Hata sijui umeuliza kitu gani hicho.
 
Na ukute unaitwa uncle na kukaribishwa nyumba zenye watoto wa miaka 14 waliokuzidi umri.
Cha ajabu kitu gani? Nani kakwambia miaka14 ni mtoto?
 
Mkui, miaka ya 90 nilikuwaga jambazi, section yangu ilikuwa dereva. Ilikuwa tukienda kwenye eneo la tukio, halafu baada ya tukio ukachelewa kuingia ndani ya gari hata kwa sekunde moja tu, basi nilikuwa nakuacha.Niliwaaacha zaidi ya watu 40. I hate slow people. Wewe pia ningekuacha na ungekuwa marehemu now cause ur very slow. Hata sijui umeuliza kitu gani hicho.
Mkuu, Huwezi kumuacha usiyemwendesha, Ulikuwa unaendesha majambazi, Miaka ya 90 sikuwa jambazi.
 
Back
Top Bottom