Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wajinga ndio Waliwao Mwendazake alikuwa a awaambia tunanunua kwa Fedha za Ndani kumbe Mikopo Mitupu"Serikali imefanya malipo ya awali ya ya shilingi bilioni 212.95 kwa ajili ya Ndege 5, Ndege kubwa 2, za masafa ya kati 2 na Bombardier ndogo 1, pia serikali imefanya malipo ya Bil. 50 kwenye mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere"- MsigwaGerson
View attachment 1923519
ugomvi wa aina hii huwaga hauishi!! mie simo!! kwa nini umemvalisha kibalaghashia wazi ivi? na ndevu kama zote? halafu umemshikisha bunduki tena mbili kizezeta kwani umeambiwa hajui kufikiri?Hamza anapita tu, wala hausiki na hii maada, yeye hana shida na mtu anawataka polisi tuView attachment 1923506
Hivi ile rangi ya kaputura za shule za msingi za serikali huitwa khaki eee??HAMZA katuharibia UVCCM
Inategemea mka na mkoa, Kaskaini wanavaa khaki, kusini wanava blue.Hivi ile rangi ya kaputura za shule za msingi za serikali huitwa khaki eee??
Wewe bwana acha ujinga, malipo bila mkopo wapi wakati jana tu nchi imekopeshwa trillion 1.3?! Acha kutetea ushenzi wa serikali za ccm."Serikali imefanya malipo ya awali ya ya shilingi bilioni 212.95 kwa ajili ya Ndege 5, Ndege kubwa 2, za masafa ya kati 2 na Bombardier ndogo 1, pia serikali imefanya malipo ya Bil. 50 kwenye mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere"- MsigwaGerson
View attachment 1923519
Hizi ndege tayari zingeshafungua mgodi wa Liganga na Mchuchuma tukaanza kupata faida toka mwaka wa kwanza. Lakini kwa akili yetu tumechagua anasa kwanza halafu tunatafuta mwekezaji kwenye mgodi.Wao wanauza meli kwa sababu ya hasara
Na sisi tunanunua ili tupate hasara yaani kupanga ni kuchagua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi ndege tayari zingeshafungua mgodi wa Liganga na Mchuchuma tukaanza kupata faida toka mwaka wa kwanza. Lakini kwa akili yetu tumechagua anasa kwanza halafu tunatafuta mwekezaji kwenye mgodi.
Hivi haiwezekani tukawaachia ndege wawekezaji halafu sisi tukawekeza kwenye migodi yetu? Walau 50 %...!!
Kwanini hiyo bil 200 isiende nyerere halafu hiyo 50 ndio iende kwenye ndege? Cha muhimu kipi?"Serikali imefanya malipo ya awali ya ya shilingi bilioni 212.95 kwa ajili ya Ndege 5, Ndege kubwa 2, za masafa ya kati 2 na Bombardier ndogo 1, pia serikali imefanya malipo ya Bil. 50 kwenye mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere"- MsigwaGerson
View attachment 1923519