Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Vilevile uwaz huweza kutumika na maadui Zako kuvurugaaa.Siku zote Usiri hulenga kunyonga!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vilevile uwaz huweza kutumika na maadui Zako kuvurugaaa.Siku zote Usiri hulenga kunyonga!!
Aseeee.......Acha ushamba!! Kwenye ulimwengu wa soka mishahara siyo siri hata kidogo, na Tanzania siyo kisiwa! Usiri hulenga uonevu!! Anayeruhusiwa kuamua mshahara wake uwe siri ni kocha mwenyewe na anafanya hivyo kwa maandishi!! Ona hapa:
Highest Paid Premier League Manager Said To Earn More Than Arsenal & Chelsea Bosses Combined
A report by a British newspaper has published salary figures for all 20 current managers in England's Premier League.
According to the information, no Premier League manager earns as much as Manchester City's Pep Guardiola, who is said to be on £19m per year.
Liverpool boss Jurgen Klopp is apparently second in the pay table on £16m per year - just over £300,000 per week.
Tottenham's Antonio Conte (£15m per year) and Leicester's Brendan Rodgers (£10m) are the only other Premier League managers credited with eight-figure salaries.
These numbers were published by The Sun this week alongside the news that Arsenal manager Mikel Arteta is set to increase his pay to £8.3m per year, putting him fifth on the list.
Arteta will soon be earning more than Chelsea manager Thomas Tuchel (£7m), despite the German leading his side to Champions League and FIFA Club World Cup glory.
Dean Smith and Thomas Frank are reportedly the joint-lowest earners (£1.5m each) among the Premier League managers.
But they could be among the highest-earning bosses in the Championship next season as Norwich and Brentford are both prime candidates for relegation.
![]()
Tatizo ni kuwa unachokiita wewe kuwa ni mshahara mzuri unajilinganisha na kipato chako cha m1 au m2. Kwa hiyo ukiona kapewa m5 wewe utasema ni mshahara mzuri!! Hiyo HAPANA. Apewe mshahara kulingana na jinsi walivyokuwa wanawalipa makocha wa kigeni!! Huwezi kutegemea kocha wa kigeni apewe m5!! Lakini wabongo hawana aibu!! wanaweza kumwiliza kwani coastal union walikuwa wanakupa shilingi ngapi? Kwa hiyo sisi tunakupa mara mbili yao!! Hapo keshapigwa tayari!!Alipwe mshahara mzuri mimi hayo ya ni sh ngapi sitaki kujua muhimu tumpe salary inayoonesha tumetambua thamani yake
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kuweka hadharani mshahara sio sawa. Ila apewe mshahara mzuri iliwezekana iwe zaidi ya makocha wazawa EA
Na hawa si walikuwa wanafundisha soka ha afrika? Je Tanzania siyo afrika?Aseeee.......
Kazi ipo, unaulizwa kocha gani mzungu mshara wake ulikuwa wazi?
Unaniletea makocha wa Ulaya.
Bongo hii hakuna mshahara wa mchezaji au kocha utakuwa rasmi hadharani, utaishia kuskia inasemekana....
Usiri ni lengo la kunyonga? , na aliyesaini kaona poa tu ila wewe sasa.
Mshahara wa mkwasa kwa mwezi unaujua?Viongozi wa Simba wasimwonee wivu wala wasimbanie!! Mgunda atafanya maajabu!! Ni mbunifu sana!! Ameihamasisha timu na amewapa wachezaji kujiamini sana na kila mmoja anaona ana nafasi!! Tutunze hazina hii!
Na hawa si walikuwa wanafundisha soka ha afrika? Je Tanzania siyo afrika?
Tutumie uzi huu kuipongeza Simba kwa kumpatia Mgunda nafasi ya kuwa kocha mkuu wa Simba. Naamini kabisa kuwa Mgunda almaarufu kama Gurdiola Mnene ataifanyia Simba maajabu ambayo hatujawahi kuyapata kwa makocha Wazungu.
Angalizo langu ni kuwa isitokee hata kidogo kuwa simba wamempa nafasi hiyo kama namna ya kubana matumizi kwa kumpa mshahara mdogo!
Hiyo itakuwa ni laana. Kama ambavyo mishahara ya makocha wa kigeni huwa inawekwa wazi (na huu ndiyo utamaduni wa kwenye soka), tunaitaka Simba iweke hadharani mshahara wa mgunda kama Kocha Mkuu wa Simba! Tusisikie eti mnampa vi milioni 10 - 20 huo utakuwa ni uchawi na kutaka kunyanyasa makocha wazawa! Napendekeza kuwa Mgunda apewe mshahara si chini ya kocha yeyote wa kigeni aliyeifundisha Simba hivi karibuni!
Nawasilisha!
Inapaswa pia iwe wazi!Mshahara wa mkwasa kwa mwezi unaujua?
Minziro?
Ataonjae wivu wakati CAF licence class A hana na watu wake wa karibu huwa wanamshauri akajiendeleze yeye anabweteka na mwisho wa mwaka huu wanamuambia aende akajiendelezeIla hofu yangu ni kuwa huyu kocha msaidizi wa kudumu huenda akaona wivu!! Napendekeza na yeye apewe mshahara mzuri!!
Nadhan tuache uongozi wa simba ufanye kile ambacho ni sahihi ambacho hakitaumiza upande wowote iwe kwa club au coach mngunda na unajua fika kuna watu walikuwa wanapiga pesa klabuni kwa mikataba ya hovyo yule mama wa shoka kafumua kila kituInapaswa pia iwe wazi!
Lakini uwazi ndio utaratibu wa kwenye soka!! labda kama kocha mwenyewe apende iwe siri!Vilevile uwaz huweza kutumika na maadui Zako kuvurugaaa.
Wewe pia ni mwanasoka, hebu weka hapa salary slip Yako, uoneshe huo uwazi Kwa mifano halisi.🤦🏾🤦🏾Lakini uwazi ndio utaratibu wa kwenye soka!! labda kama kocha mwenyewe apende iwe siri!
Taratibu kwenye ulimwengu wa soka ni za wazi zaidi kuliko sehemu zingine zote! Mind you tunazungumzia soka!Wewe pia ni mwanasoka, hebu weka hapa salary slip Yako, uoneshe huo uwazi Kwa mifano halisi.🤦🏾🤦🏾
Na wewe ni mwanasoka, ndo maana unaiongelea hapa, onesha mfano basi.Taratibu kwenye ulimwengu wa soka ni za wazi zaidi kuliko sehemu zingine zote! Mind you tunazungumzia soka!
Sio utaratibu ila ni hulka Hasa Kwa jamii zilizostrabika ambako level za critical thinking na ustaarabu Ziko juu! Hebu fikiria mshahara wa mgunda mashabiki wanaambiwa ni ml 20... Nini kitatokea??Lakini uwazi ndio utaratibu wa kwenye soka!! labda kama kocha mwenyewe apende iwe siri!
Sio utaratibu ila ni hulka Hasa Kwa jamii zilizostrabika ambako level za critical thinking na ustaarabu Ziko juu! Hebu fikiria mshahara wa mgunda mashabiki wanaambiwa ni ml 20... Nini kitatokea??
Wachambuz Wetu wataacha kuongelea Soka na kujadili mshahara?
Familia Huko Kwa mgunda ni vita mura wanaona ndgu Yao anapesa
Mashabiki wa yanga na Simba nao vurugu kujadili.
Tisa kumi yote hya yanakuja kuiathir timu.mambo ya kutangaza mshahara tuachie wwnzetu kwanza, Akili zikue kwanza.