Hongera Simba kwa kumpa Mgunda timu kama Kocha Mkuu, apewe mshahara mnono na siyo kutumiwa kama njia ya kubana matumizi

Nitakuja kucomment mwisho wa msimu MUNGU AKINIWEKA HAI
 
Angelipwa tu TGTS B1 kwani si nasikia n kocha wa daraja A
 
Atafukuzwa tu hapo wacha tuwapige tarehe 23,halafu tuwapige Fa,halafu tuwapige round ya pili ya ligi...wameondoshwa wazungu akina uchebe itakua huyu?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Hoja unayozungumza ina mashiko, tatizo ni pale usiri unapotumika kumnyonga mtu!! Kwanza huo mshahara wa ml 20 uliotolea mfano bado ni mdogo sana kwa hadhi ya timu kama simba!
 
Atafukuzwa tu hapo wacha tuwapige tarehe 23,halafu tuwapige Fa,halafu tuwapige round ya pili ya ligi...wameondoshwa wazungu akina uchebe itakua huyu?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hajawahi kutokea kocha yeyote akawa wa kudumu!! Alifukuzwa mzee Wenger pale Arsenal itakuwa hapa bongo!! Tunachosema ni kuwa wakati bado ni kocha apewe mshiko wa kueleweka. Kwa mawazo yangu kitu kama milioni 50 kwa mwezi!!
 
Shida yako nn?UTOPOLO bana Simba walipopanda Pipa kwenda Angola siku Moja kabla ya mechi mlisema wamefilisika Leo hii UTOPOLO mmeiga hakuna anayesema mmeishiwa Kwa akili hizi Yanga Kuingia Makundi mwaka ni ndoto labda mwakani
Mbona umemshambulia hivyo? Hv kwani hamkukodi kama tulivyoaminishwa?
 
Hapo mtasemaje tena? Soka linaloendeshwa Tanzania linapaswa kufuata kanunu na utaratibu na utamaduni huo huo wa soka ulimwenguni kama tunataka kutoboza kwenye soka la kimataifa!!
Sisi tuna tamaduni zetu watz, wachezaji wa ulaya tunajua mishahara yao lakini hatukuwahi kujua mshahara wa Samata unazani kwanini?
 
Hajawahi kutokea kocha yeyote akawa wa kudumu!! Alifukuzwa mzee Wenger pale Arsenal itakuwa hapa bongo!! Tunachosema ni kuwa wakati bado ni kocha apewe mshiko wa kueleweka. Kwa mawazo yangu kitu kama milioni 50 kwa mwezi!!
Usiwapangie simba, mgunda kama ataona pesa anayopewa hailingani na anachodeliva atabwaga mzigo
 
Hajawahi kutokea kocha yeyote akawa wa kudumu!! Alifukuzwa mzee Wenger pale Arsenal itakuwa hapa bongo!! Tunachosema ni kuwa wakati bado ni kocha apewe mshiko wa kueleweka. Kwa mawazo yangu kitu kama milioni 50 kwa mwezi!!
Nimependa sana hapo uliposema KWA MAWAZO YANGU.
Kwa sababu, mawazo yako tumeshayasikia, nadhani sasa tuyape nafasi MAWAZO YA JUMA MGUNDA na mwajiri wake SIMBA SC yaamue suala la mshahara.
 
Ukiwa kocha mkuu unaandamwa na maswahibu yote , mgunda mtamkataa soon
 
Yaani milioni 20 ni kidogo?
Kuna watu mna vichaa vya mbwa
 
Kwa nini usiwekwe hadharani? Mbona mishahara ya makocha wazungu huwekwa hadharani? Ikiwa ni siri lazima atapunjwa!! Mbaya zaidi anaweza kupewa mshahara mdogo kuliko baadhi ya wachezaji wa kigeni na hawatamheshimu!!
Athari zake zitakuwa kwenye familia na jamii inayonufaika na jasho la Mgunda.
Bado wa Tanzania tunaishi maisha ya kumtemea mjomba, shangazi aliyepo Daithalamu.
 
Mshahara ni makubaliano ya pande mbili, hakuna habari ya kusema mimi nataka kulipwa kama yule.unalipwa kutokana na ulivyojiuza na madini uliyo nayo
 
Yasije yakawa kama ya azam na yule kocha msomali baada ya kusain mkataba wa miaka mitatu
 
Usiwapangie simba, mgunda kama ataona pesa anayopewa hailingani na anachodeliva atabwaga mzigo
Aende wapi?
Ataona heri kunyonywa kidogo sehemu yenye starehe, kuliko kunyonywa Sana sehemu yenye shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…