Hongera Simba sc kutinga orodha vilabu bora Afrika

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Napenda kutumia fursa hii kutoa pongezi kwa kilabu ya Simba kwa kutinga katika orodha ya vilabu bora barani Afrika kwa mujibu wa Shirika la kimataifa linalojihuisha na takwimu za soka. Hongera kwa uongozi, Wadhamini na benchi zima la ufundi. Tuendelee kuwa mfano kwa vilabu vingine hapa nchini kuyafikia mafanikio hayo.

 

Fake! Kila siku kuna orodha mpya!
 
Yanga wanaamini wanaweza wakampita mamelody sundowns na usm alger bingwa wa Caf confederation cup pia wamempita wakati wao wameingia hapo kwasababu ya kufika fainali ya Caf confederation cup ila hawajiulizi bingwa aliyechukua yupo chini yao ila ndio hivyo ukiwa yanga na akili zinacheza kidogo.
 
Wewe ndio mjinga!!, Kwani umeambiwa hizo rank zinatolewa kwa kigezo kimoja chakuwa bingwa wa CAF?. Unajua maana ya takwimu za mpira kwa mwaka mzima?, Punguza kutokujibu usichokijua. B.fuvck u.
 
Fake hiiii
 
Wewe ndio mjinga!!, Kwani umeambiwa hizo rank zinatolewa kwa kigezo kimoja chakuwa bingwa wa CAF?. Unajua maana ya takwimu za mpira kwa mwaka mzima?, Punguza kutokujibu usichokijua. B.fuvck u.
Ona hili kenge jingine una mpira kushinda mamelody sundowns nyie wenye akili ni wawili na wanajulikana kwa hyo sibishani na machizi kama wewe go and wash your clitoris well and suck your husband dick you dumb silly and idiot.
 
Mbona hao jamaa walivyotoa takwimu kuhusu simba mliwafurahia why not hivi sasa?
 
Mbona hao jamaa walivyotoa takwimu kuhusu simba mliwafurahia why not hivi sasa?
Hata yanga mlipinga mkiongozwa na manara pamoja na privadinho sisi hatupingi ila kuna vitu vingine inabidi utumie akili.
 
Ona hili kenge jingine una mpira kushinda mamelody sundowns nyie wenye akili ni wawili na wanajulikana kwa hyo sibishani na machizi kama wewe go and wash your clitoris well and suck your husband dick you dumb silly and idiot.
Ushoqer na kupumliwa qundu unakusumbua, umeambiwa takwimu zinahusu Mashindano ya CAF pekee umefuatilia mamelod mechi zake za ligi take na mashindano mengine ya ndani?, Unajua takwimu zake na amepoteza mechi ngapi?. Acha kukomaza fuzu na hilo qundu unalopakuliwa. B.fuvck u Bibi dada weye.
 
Sasa hivi mnawaheshimu Mabingwa wa shirikisho [emoji23][emoji23][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
 
Yanga haipo hapa hizi ni hujuma. Simba wametembeza bahasha
 
Ona hili kenge jingine una mpira kushinda mamelody sundowns nyie wenye akili ni wawili na wanajulikana kwa hyo sibishani na machizi kama wewe go and wash your clitoris well and suck your husband dick you dumb silly and idiot.
Dah mkuu kwanza usipaniki hadi kutukanana sababu ya mpira tu.
Ipo hivi, IFFHS hawa deal na kuupigwa mpira mwingi hadi kumwagika na wala hawa deal na mafanikio ya mwisho (kombe) bali wana deal na namba tu katika mechi zote za mashindano yote yanayotambulika na FIFA ( FA cup, ligi kuu na mashindano ya kimataifa)
Wao wanahesabia kila kitu kinachohusika na performance, yaani idadi ya mechi unazoshinda, idadi ya magoli uliyofunga, idadi ya clean sheet, idadi ya magoli uliyoruhusu, n.k
 
Kabla hujamuhukumu mtu kutukana angalia comment vizuri utaona nani kaanza kumtukana mwenzake mashabiki wa yanga wanaongoza kutukutana sijui wana matatizo gani.
 
Wanapokea zawadi gani au ni ujiko tu?
 
You dumb silly I don't have time to argue with stupid people like you it seems you know nothing about football and it's statistics there is no need to insult someone to prove your point I'm regretting to argue with idiot like you it's a waste of time mamelody sundowns won the league in a row now how can I argue with idiot you All yanga information but know nothing about mamelody sundowns before debating with someone go Google and make your facts right you stupid dumb silly idiot.
 
Kabla hujamuhukumu mtu kutukana angalia comment vizuri utaona nani kaanza kumtukana mwenzake mashabiki wa yanga wanaongoza kutukutana sijui wana matatizo gani.
Ndio maana nimetoa kauli "kutukanana" sikusema "kutukana"
Na la mwisho ni kwamba wewe ndiye uliyeanza kutukana ndugu zako, marafiki zako, na watu wengine wote wanaoshabikia Yanga kwa kutoa kauli hii "ukiwa yanga na akili zinacheza kidogo."
 
Kwikwikwi,..thithi thimba bana😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…