Hongera Simba sc kutinga orodha vilabu bora Afrika

Hongera Simba sc kutinga orodha vilabu bora Afrika

You dumb silly I don't have time to argue with stupid people like you it seems you know nothing about football and it's statistics there is no need to insult someone to prove your point I'm regretting to argue with idiot like you it's a waste of time mamelody sundowns won the league in a row now how can I argue with idiot you All yanga information but know nothing about mamelody sundowns before debating with someone go Google and make your facts right you stupid dumb silly idiot.
Kiingereza chakusengelema hiki hakina hata muunganiko ndio unadhani umejua😅😅. Unafikiri kiingereza unaandika kiswahili!.
 
Napenda kutumia fursa hii kutoa pongezi kwa kilabu ya Simba kwa kutinga katika orodha ya vilabu bora barani Afrika kwa mujibu wa Shirika la kimataifa linalojihuisha na takwimu za soka. Hongera kwa uongozi, Wadhamini na benchi zima la ufundi. Tuendelee kuwa mfano kwa vilabu vingine hapa nchini kuyafikia mafanikio hayo.

View attachment 2817363
Aliyechukua kombe mbele ya yanga hata Top 10 hayumo?! Kweli pesa za wizi na ufisadi zinatumika kuvuruga mambo mengi sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi hiki ukitaka kuwavuruga mbumbumbu fc, wawekee tu takwimu za timu bora!!!
 
Ndio maana nimetoa kauli "kutukanana" sikusema "kutukana"
Na la mwisho ni kwamba wewe ndiye uliyeanza kutukana ndugu zako, marafiki zako, na watu wengine wote wanaoshabikia Yanga kwa kutoa kauli hii "ukiwa yanga na akili zinacheza kidogo."
Hyo ni nukuu ya haji manara na inajulikana na kila mtu kwa hyo sisi tuna quote tu.
 
Kiingereza chakusengelema hiki hakina hata muunganiko ndio unadhani umejua[emoji28][emoji28]. Unafikiri kiingereza unaandika kiswahili!.
You idiot reply with English please I don't understand swahili.
 
Yanga wanaamini wanaweza wakampita mamelody sundowns na usm alger bingwa wa Caf confederation cup pia wamempita wakati wao wameingia hapo kwasababu ya kufika fainali ya Caf confederation cup ila hawajiulizi bingwa aliyechukua yupo chini yao ila ndio hivyo ukiwa yanga na akili zinacheza kidogo.
wewe akili zako zinagongea matakoni, huwez jifikria kuwa Yanga ni club ndogo hasa katka mashindano ya CAF, haikuwa na historia nzuri kwenye hayo mashindano, lakin from no where inakuja kucheza hadi fainal ya shirikisho! Timu ilikuwa na point 0.5 za CAF, uliza kwa sasa ina point ngap na hizo point imezikusanya msimu gan then uliza point za club yako na imezikusanya misimu mingap! We vip
 
Aliyechukua kombe mbele ya yanga hata Top 10 hayumo?! Kweli pesa za wizi na ufisadi zinatumika kuvuruga mambo mengi sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tatizo akili hazimo IFFHS wana angalia performance sio makombe na takwimu zao zinahusiaha official matches zote sio shindano moja mfvano leo USMA leo kapigwa kwenye ligi ya kwao juzi Yanga kampa [emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772] FC kibano wanachukua hizo daya
 
Yanga wanaamini wanaweza wakampita mamelody sundowns na usm alger bingwa wa Caf confederation cup pia wamempita wakati wao wameingia hapo kwasababu ya kufika fainali ya Caf confederation cup ila hawajiulizi bingwa aliyechukua yupo chini yao ila ndio hivyo ukiwa yanga na akili zinacheza kidogo.
Hii takwimu ni sahihi kabisa kwa kuwa imeangalia mashindano ya kimataifa Yanga kufika fainali Shirikisho na ya kubeba makombe ya ndani.

Yanga ni bingwa wa ligi misimu miwili mfululizo, inaongoza ligi na pia nadhani takwimu pia imehusisha 5G khamsa kono la nyani kwenye derby maana Africa nzima hakuna derby timu moja imeishindilia mwenzake khamsa zaidi ya Yanga kuikanda Simba khamsa ndo maana Yanga Iko juu ya Mamelodi!!

Kwahiyo hutaki Yanga kuwa klabu Bora au?
 
Yanga wanaamini wanaweza wakampita mamelody sundowns na usm alger bingwa wa Caf confederation cup pia wamempita wakati wao wameingia hapo kwasababu ya kufika fainali ya Caf confederation cup ila hawajiulizi bingwa aliyechukua yupo chini yao ila ndio hivyo ukiwa yanga na akili zinacheza kidogo.
Uzi hauwahusu yanga, unahusu kutoa pongezi kwa simba
 
Back
Top Bottom