Hongera Sugu kwa kuwa msikivu, na mliyompa ushauri wangu kutoka JF mbarikiwe, ujumbe umefika

Hongera Sugu kwa kuwa msikivu, na mliyompa ushauri wangu kutoka JF mbarikiwe, ujumbe umefika

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Inaleta faraja pale unapoona ndugu au rafiki anapotoka ukamrudisha kwenye mstari naye akakubali kurudi kwenye mstari.

Nilimshauri Joseph Mbilinyi Sugu hapa JF aachane na tabia za wavulana.


Ni jambo la kutia moyo kupitia JF wadau walimfikishia ujumbe either one to one au by tag lakini all in all kwa muono wangu na previous post zake amejirekebisha kwa lile nililoona kama political figure alikuwa anapotea.

Hongera kwa usikivu wako Sugu, japo Muarobaini ni mchungu lakini ndio tiba.
Screenshot_2022-12-15-06-16-08-16.png
 
Pia asichelewe kumchukua bintiye. Yule mama ana headcase asije akamdhuru mtoto maana ashaanza kutangaza kukerwa na mwanae.


Sugu bado anayo nafasi kuitwaa Mbeya tena kwa minajili ya maendeleo
Hilo la kifamilia ni gumu sana ninaelewa vizuri matatizo ya familia, ila kama mtoto amefikisha miaka 7 basi hawa wanaojiita wanaharakati wa kijinsia wamtetee Sugu kisheria apewe haki ya kukaa na mtoto badala ya mtoto kugeuzwa mtaji na mama yake.

Izingatiwe Faiza hana mtoto mmoja tu, amezaa na mwanaume mwingine lakini kila siku matusi ni kwa Sugu.

Sugu anastahili kutetewa na hawa wanaharakati wa kijinsia katika hili, cha kusikitisha jamii mpaka leo inaamini wanaume hatuumizwi na unyanyadaji tunaofanyiwa na wanawake.
 
Inaleta faraja pale unapoona ndugu au rafiki anapotoka ukamrudisha kwenye mstari naye akakubali kurudi kwenye mstari.

Nilimshauri Joseph Mbilinyi Sugu hapa JF aachane na tabia za wavulana.


Ni jambo la kutia moyo kupitia JF wadau walimfikishia ujumbe either one to one au by tag lakini all in all kwa muono wangu na previous post zake amejirekebisha kwa lile nililoona kama political figure alikuwa anapotea.

Hongera kwa usikivu wako Sugu, japo Muarobaini ni mchungu lakini ndio tiba.
Ongea straight, acha mafumbo. Alikuwa na tabia gani za kivulana ambazo ameziacha?
 
Pia asichelewe kumchukua bintiye. Yule mama ana headcase asije akamdhuru mtoto maana ashaanza kutangaza kukerwa na mwanae.


Sugu bado anayo nafasi kuitwaa Mbeya tena kwa minajili ya maendeleo
Huyu Sugu kurudi Mbeya kama mbunge sidhani kama anaweza kutoboa tena
 
Ongea straight, acha mafumbo. Alikuwa na tabia gani za kivulana ambazo ameziacha?
 
1. TATIZO la Kwanza La SUGU ni kukosa Elimu.
2. TATIZO la Pili ni USANII.

Yani jamaa hata hajioni kuwa umri umeanza kusogea.

Wenzie wakina Marijani , Mbaraka Ngurumo nk walikuwa WANAMUZIKI.

yeye analeta mambo ya kisanii ya kina Diamond.
  • kushikana makalio na wanawake HADHARANI.
  • Kugombea mambo ya kitoto HADHARANI.
  • kesi za kifamilia HADHARANI nk nk.

BADO ANA MENGI SANA YA KUJIFUNZA KUTOKA KWA PROFESA J.
 
1. TATIZO la Kwanza La SUGU ni kukosa Elimu.
2. TATIZO la Pili ni USANII.

Yani jamaa hata hajioni kuwa umri umeanza kusogea.

Wenzie wakina Marijani , Mbaraka Ngurumo nk walikuwa WANAMUZIKI.

yeye analeta mambo ya kisanii ya kina Diamond.
  • kushikana makalio na wanawake HADHARANI.
  • Kugombea mambo ya kitoto HADHARANI.
  • kesi za kifamilia HADHARANI nk nk.

BADO ANA MENGI SANA YA KUJIFUNZA KUTOKA KWA PROFESA J.
Amekosa elimu vipi? Fafanuwa.
 
Naona Sugu ameamua tu kuwa mstaarabu ili kuwaliwaza wenye mentality za aina yako, mnaoteseka na vitu vidogo.

Ulichokifanya ni kuingilia maisha binafsi ya Sugu, bila kujali kama ana miaka 50, jambo ambalo kwa upande wangu naona haukuwa sahihi.
 
Inaleta faraja pale unapoona ndugu au rafiki anapotoka ukamrudisha kwenye mstari naye akakubali kurudi kwenye mstari.

Nilimshauri Joseph Mbilinyi Sugu hapa JF aachane na tabia za wavulana.


Ni jambo la kutia moyo kupitia JF wadau walimfikishia ujumbe either one to one au by tag lakini all in all kwa muono wangu na previous post zake amejirekebisha kwa lile nililoona kama political figure alikuwa anapotea.

Hongera kwa usikivu wako Sugu, japo Muarobaini ni mchungu lakini ndio tiba.
Actually amezaa na nyoka
 
MTU kuishi Maisha yake bila kuvunja sheria za nchi, Sheria za dini yake, Sheria za utamaduni wake ndio uvulana?

Yaani MTU aposti Maisha yake kwenye akaunti yake, uuite uvulana?
MTU aposti miradi au Mali zake mtandaoni ndio uuite uvulana?

Umaskini ni kitu kibaya Sana.

Hi I MTU akisema na kupost magari yake au Hoteli yake anavunja sheria gani iwe sheria ya nchi, dini ya utamaduni?
 
Back
Top Bottom