Hongera Sugu kwa kuwa msikivu, na mliyompa ushauri wangu kutoka JF mbarikiwe, ujumbe umefika

Hongera Sugu kwa kuwa msikivu, na mliyompa ushauri wangu kutoka JF mbarikiwe, ujumbe umefika

Hilo la kifamilia ni gumu sana ninaelewa vizuri matatizo ya familia, ila kama mtoto amefikisha miaka 7 basi hawa wanaojiita wanaharakati wa kijinsia wamtetee Sugu kisheria apewe haki ya kukaa na mtoto badala ya mtoto kugeuzwa mtaji na mama yake.

Izingatiwe Faiza hana mtoto mmoja tu, amezaa na mwanaume mwingine lakini kila siku matusi ni kwa Sugu.

Sugu anastahili kutetewa na hawa wanaharakati wa kijinsia katika hili, cha kusikitisha jamii mpaka leo inaamini wanaume hatuumizwi na unyanyadaji tunaofanyiwa na wanawake.
Ninaungana na wewe kwenye hili.

Jamii inayomsapoti Faiza inafanya kosa kubwa dhidi ya mtoto. Nimewaza kuwa mjadala alo upost Faiza majuzi hapa ni dalili mbaya sana kwa ustawi wa mtoto kiusalama wake. Mtoto ametumika sana mitandaoni kumchafua Sugu na hata hivi karibuni mama yake alimrekodi mtoto akimpa onyo baba yake kuachana naye. Haya sasa, juzi hapa Faiza anawaka kuwa mtoto anamlilia baba yake. Hii ni wazi kuwa hali si nzuri kati ya mtoto na mama. Maigizo yamefika kikomo. Zipo taarifa wazazi kuua watoto na wao kujiua. Hatupendi kufika huko. Faiza hayuko sawa. Sehemu yake ni Mirembe hadi akae sawa.


Sugu asaidiwe kisheria amchukue mwanae kwa usalama wa binti
 
MTU kuishi Maisha yake bila kuvunja sheria za nchi, Sheria za dini yake, Sheria za utamaduni wake ndio uvulana?

Yaani MTU aposti Maisha yake kwenye akaunti yake, uuite uvulana?
MTU aposti miradi au Mali zake mtandaoni ndio uuite uvulana?

Umaskini ni kitu kibaya Sana.

Hi I MTU akisema na kupost magari yake au Hoteli yake anavunja sheria gani iwe sheria ya nchi, dini ya utamaduni?
Bwana Mdogo, siwezi kumshauri haya Monde boy wala Diamond Platnumz, Sugu ni political figure labda umeamuwa kujizima data.
 
Sugu alimchukua mtoto akaanza makelele ni mpumbafu sn
Huyo mwanamke hafai kulelea mtoto.

Nasema hafai na sishangai mamlaka zimefumbia macho hili labda wakidhani wanamkomoa Sugu kwa kuwa ni CJADEMA. Lakini mtoto hajatendewa haki kabisaaa

Sugu hajaonesha kumkataa bintiye lakini kimsingi mama amefanya vituko ambavyo vinapelekea mwenye akili timamu yeyote kujiweka pembeni
 
Huyo mwanamke hafai kulelea mtoto.

Nasema hafai na sishangai mamlaka zimefumbia macho hili labda wakidhani wanamkomoa Sugu kwa kuwa ni CJADEMA. Lakini mtoto hajatendewa haki kabisaaa

Sugu hajaonesha kumkataa bintiye lakini kimsingi mama amefanya vituko ambavyo vinapelekea mwenye akili timamu yeyote kujiweka pembeni
Jamaa kachagua kukaa kimya wala hahangaiki naye
 
Back
Top Bottom