Hongera: Tanzania gets first flyover thanks to Japanese grant

Hongera: Tanzania gets first flyover thanks to Japanese grant

Pwahaahaha...subiri kidogo utaskia wanahabari na viongozi wamefurika katika uzinduzi wake😛😛😀😀
Unataka kuniambia kwamba mji wa Kisumu ulipata flyover yake ya sita miaka kadhaa kabla ya Tanzania kupata flyover yake ya kwanza??? [emoji15][emoji15][emoji15]
Monkeys interchange kama hii ya Dar es salaam unasema ni flyover 😂😂😂😂 Show me that flyover of Kisumu😂😂 Monkey atabaki kuwa monkey 😂😂😂
IMG-20160417-WA0280.jpg
Capture 1_zpspzpkhzmf.png
 
Uelewa wako uko chini sana. Umesoma hiyo nakala vizuri kweli ama umekimbilia kukomenti? Wewe ni mvivu wa kusoma
Wanaonielewa ni wachache sana... sikushangai kwakuwa si tatizo lako bali uelewa wako ni finyu sana....
 
Wewe unajua maana ya donor country? Usiwahi fungua utumbo namna hiyo siku nyingine? Donor country ni Japan ambao waliwapea pesa ya bure (grant) kujenga fly-over yenu ya kwanza baada ya miaka hamsini na tano ya kupata uhuru.
Ungekuwa na akili wala ungenielewa na wala usingepoteza muda wako kuni quote. Huna kazi ya kufanya?
 
Wanaonielewa ni wachache sana... sikushangai kwakuwa si tatizo lako bali uelewa wako ni finyu sana....
Aspirin were banned in our country because they are not safe
They can lead to stomach ulcers. Please stop taking them. I recommend you to take panadol and if pain persists rush to muhimbili hospital for further medical attention
 
Aspirin were banned in our country because they are not safe
They can lead to stomach ulcers. Please stop taking them. I recommend you to take panadol and if pain persists rush to muhimbili hospital for further medical attention
Hahahaha LOL
 
Aspirin were banned in our country because they are not safe
They can lead to stomach ulcers. Please stop taking them. I recommend you to take panadol and if pain persists rush to muhimbili hospital for further medical attention
Wah! I think you guys didn't get that he was being sarcastic with his comment about Tz being a donor country.
 
Watani zetu wakenya WANAPATA TABU SANAAAA.
 
na ndio maana tumeyazuia maziwa ya baba yao kwa kuyapiga kodi zaidi. badala ya kujenga nchi wanakuwa wafanya biashara
 
Nyie majamaa bhana. Hako kaflyover tumekajenga kwa hela zetu. Infact majamaa yalikuwa yanatubia sana.Na pale ubungo tunajenga nyingine ya ghorofa tatu...hela tunazo. Ndio maana nasema ours is a donor country...
Mulijengewa na Japan kama zawadi, Tanzania masikini haiwezi!., kuna mahitaji mengi ya kushughulikia, ila vyanzo vya mapato havitoshi ku finance national budget, hili linajulikana kaka.
 
Mulijengewa na Japan kama zawadi, Tanzania masikini haiwezi!., kuna mahitaji mengi ya kushughulikia, ila vyanzo vya mapato havitoshi ku finance national budget, hili linajulikana kaka.
Good thing ni zawadi sio mkopo wa Mchina😂😂😂
 
Mulijengewa na Japan kama zawadi, Tanzania masikini haiwezi!., kuna mahitaji mengi ya kushughulikia, ila vyanzo vya mapato havitoshi ku finance national budget, hili linajulikana kaka.
Kuna mtu aliyebisha?
 
Back
Top Bottom