Sijakataa kuwa ni flyover ya kwanza. My point is kuwa hamko na flyover zaidi ya nne. interchange mnaita flyover๐๐๐๐๐you are still in denial. Kama Rais wenu anakubali hio ni flyover ya kwanza so who are you?.
Anyway Leo ni weekend burudika na hizi picha za Nairobi, Mombasa, kisumu pia wako nazo flyovers.
View attachment 888877View attachment 888878View attachment 888879