Hongera TCRA kusisitiza Professionalism kwenye habari! Acheni double standards, acheni uonevu. Tendeni haki kwa Watanzania!

Hongera TCRA kusisitiza Professionalism kwenye habari! Acheni double standards, acheni uonevu. Tendeni haki kwa Watanzania!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Naomba kuanza uzi huu kwa declaration of interest. Mimi ni mdau mkubwa sana wa TCRA, nawakubali sana, na hadi vipindi vyao nafanya



Ila TCRA ilichomfanyia Humphrey Polepole na shule yake ya uongozi sio sawa, sio haki, ni kumuonea na TCRA kufanya maamuzi kwa double standards!

Naikubali sana TCRA haswa uongozi wake mpya wa sasa kufanya mambo kwa ushirikishwaji wa wadau wa utangazaji na online contents, nami nilishiriki moja ya vikao hivyo na nikatoa maoni yangu, sheria yetu ya utangazaji ina mapungufu, EPOCA na kanuni zake zina mapungufu, kunapotokea maamuzi yanafifisha freedom of information, freedom of expression na freedom of the press, baadhi yetu tuliomo kwenye hii fani, tutumie fursa hizi kuonyeshea matundu, madhaifu na mapungufu.

Naomba kukiri huu uzi nimekuwa inspired kuaandika baada ya kusoma maoni ya mwana jf huyu akiipongeza TCRA kumfungia Polepole na shule yake ya uongozi.

TCRA ni wakupongezwa. Tukumbuke kikinuka hakuna atayebaki salama.

Hongera TCRA kwa kazi nzuri. Ujumbe umefika.

Umewakata viromo romo.
Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na pia siungi mkono, kila Tom, Dick and Harry kujifanya ni watangazaji wa online TV, wengine ni wabwabwajaji tuu wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu mtandaoni kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake.

Niliwahi kuzungumzia hii double standard ya TCRA enzi zile, kubana mitandao mingine huku ikigwaya mitandao mingine!Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla


Yule kichaa aliyekuwa ana kashifu watu hadi kuwaponza Membe, Makamba, Kinana na January na Nape, kwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?!.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
Paskali
 
habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru
Well
 
Hizi on line tvs toka Tanzania karibu zote zinaendeshwa na vilaza wasio na weledi wowote wa tasnia ya habari.
Sababu zilizomfungia Polepole zitumike kufagia uchafu uliotamalaki mitandaoni.
Hata hivyo hi ni karma sasa Polepole anajua mauvi aliyoshiriki kuwaletea wamiliki, wafanyakazi na wadau wa Mwanahalisi, Mawio naTanzania Daima yanaumaje.
 
Hizi on line tvs toka Tanzania karibu zote zinaendeshwa na vilaza wasio na weledi wowote wa tasnia ya habari.
Sababu zilizomfungia Polepole zitumike kufagia uchafu uliotamalaki mitandaoni.
Hata hivyo hi ni karma sasa Polepole anajua mauvi aliyoshiriki kuwaletea wamiliki, wafanyakazi na wadau wa Mwanahalisi, Mawio naTanzania Daima yanaumaje.
Kama tv ya musiba ilikuwa na professionalism yoyote?
 
Wanabodi,
Naomba kuanza uzi huu kwa declaration of interest
mimi ni mdau mkubwa sana wa TCRA, nawakubali sana, na hadi vipindi vyao nafanya


Ila TCRA ilichomfanyia Humphrey Polepole na shule yake ya uongozi sio sawa, sio haki, ni kumuonea na TCRA kufanya maamuzi kwa double standards!.

Naikubali sana TCRA haswa uongozi wake mpya wa sasa kufanya mambo kwa ushirikishwaji wa wadau wa utangazaji na online contents, nami nilishiriki moja ya vikao hivyo na nikatoa maoni yangu, sheria yetu ya utangazaji ina mapungufu, EPOCA na kanuni zake zina mapungufu, kunapotokea maamuzi yanafifisha freedom of information, freedom of expression na freedom of the press, baadhi yetu tuliomo kwenye hii fani, tutumie fursa hizi kuonyeshea matundu, madhaifu na mapungufu.

Naomba kukiri huu uzi nimekuwa inspired kuaandika baada ya kusoma maoni ya mwana jf huyu akiipongeza TCRA kumfungia Polepole na shule yake ya uongozi.

Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na pia siungi mkono, kila Tom, Dick and Harry kujifanya ni watangazaji wa online TV, wengine ni wabwabwajaji tuu wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu mtandaoni kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa anabm kashifu watu hadi kuwaponza Membe, Makamba, Kinana na January na Nape, kwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?!.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
Paskali

Paskali unaizungumziaje ile Tanzanite tv??
 
Ninawaunga mkono TCRA kwenye hili.

Kongole TCRA.
kobys-smile.png
 
Hizi on line tvs toka Tanzania karibu zote zinaendeshwa na vilaza wasio na weledi wowote wa tasnia ya habari.
Sababu zilizomfungia Polepole zitumike kufagia uchafu uliotamalaki mitandaoni.
Hata hivyo hi ni karma sasa Polepole anajua mauvi aliyoshiriki kuwaletea wamiliki, wafanyakazi na wadau wa Mwanahalisi, Mawio naTanzania Daima yanaumaje.

Off point as usual.
 
Ukweli ni kwamba huyu Raisi ni unpopular sana kwa Watanzania, hivyo wanatumia nguvu kubwa sana na kufanya kila wawezalo ndani na nje kumlinda, hata wanawake wenyewe ambao mwanzoni alikuwa anataka kuwatumia, ni unpopular pia.
 
Wanabodi,
Naomba kuanza uzi huu kwa declaration of interest
mimi ni mdau mkubwa sana wa TCRA, nawakubali sana, na hadi vipindi vyao nafanya


Ila TCRA ilichomfanyia Humphrey Polepole na shule yake ya uongozi sio sawa, sio haki, ni kumuonea na TCRA kufanya maamuzi kwa double standards!.

Naikubali sana TCRA haswa uongozi wake mpya wa sasa kufanya mambo kwa ushirikishwaji wa wadau wa utangazaji na online contents, nami nilishiriki moja ya vikao hivyo na nikatoa maoni yangu, sheria yetu ya utangazaji ina mapungufu, EPOCA na kanuni zake zina mapungufu, kunapotokea maamuzi yanafifisha freedom of information, freedom of expression na freedom of the press, baadhi yetu tuliomo kwenye hii fani, tutumie fursa hizi kuonyeshea matundu, madhaifu na mapungufu.

Naomba kukiri huu uzi nimekuwa inspired kuaandika baada ya kusoma maoni ya mwana jf huyu akiipongeza TCRA kumfungia Polepole na shule yake ya uongozi.

Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na pia siungi mkono, kila Tom, Dick and Harry kujifanya ni watangazaji wa online TV, wengine ni wabwabwajaji tuu wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu mtandaoni kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake. Yule kichaa aliyekuwa anabm kashifu watu hadi kuwaponza Membe, Makamba, Kinana na January na Nape, kwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?!.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
Paskali
Onghwise Pascal Mayalla . Nchi hii ukishatoa maoni na mawazo tofauti na uelekeo wa Rais na serikali yake. Lazima ushukiwe na so called apparatus zilizoko chini ya wateule wa bw/bi mkubwa. Lakini ukiwatukana wenye mrengo tofauti hata kuwadhalilisha. U are a good guy

Na hii kitu ndiyo kila siku ninasema ni athari za u communist tunaojaribu kuupractice .
 
Siku zote TCRA inafanya kazi kwa mapenzi ya serikali iliyopo madarakani, kuilinda, TCRA inatumika kama kichaka cha kuwafunga midomo wapinzani wa serikali ya CCM. Nashangaa wapinzani wengine nao wanaipongeza TCRA kwa kumshughulikia Polepole.

Hawajui hao TCRA wakimalizana na Polepole watawageukia wao tena, wafungwe midomo kama kawaida, then warudi huku waanze kulalamika TCRA inawaonea, kama mlishangilia kwa Polepole kufungwa mdomo kwanini nyie muhurumiwe mkifungwa yenu ikiwa nyie na Polepole adui yenu kwasasa ni mmoja?

Nachotaka Polepole aruhusiwe kuendelea na vipindi vyake atakapokidhi vigezo vya TCRA, nawashauri waendelee na weledi huu walioutumia kumfungia Polepole lakini wasijigeuze wanasiasa pale ambapo Polepole atakakidhi vigezo vyao waanze kumsumbua kumpa kibali.

Nasema hivi kwa sababu naona imekuwa rahisi kwa TCRA kumfunga mdomo Polepole kwa kigezo cha hajakidhi viwango kumbe wanawalinda mabosi wao, ila isije tokea Polepole atakapokidhi vigezo aanze kufanya yasiyompendeza bosi wao nao waanze kumletea visa.
 
Wanabodi,
Naomba kuanza uzi huu kwa declaration of interest
mimi ni mdau mkubwa sana wa TCRA, nawakubali sana, na hadi vipindi vyao nafanya


Ila TCRA ilichomfanyia Humphrey Polepole na shule yake ya uongozi sio sawa, sio haki, ni kumuonea na TCRA kufanya maamuzi kwa double standards!.

Naikubali sana TCRA haswa uongozi wake mpya wa sasa kufanya mambo kwa ushirikishwaji wa wadau wa utangazaji na online contents, nami nilishiriki moja ya vikao hivyo na nikatoa maoni yangu, sheria yetu ya utangazaji ina mapungufu, EPOCA na kanuni zake zina mapungufu, kunapotokea maamuzi yanafifisha freedom of information, freedom of expression na freedom of the press, baadhi yetu tuliomo kwenye hii fani, tutumie fursa hizi kuonyeshea matundu, madhaifu na mapungufu.

Naomba kukiri huu uzi nimekuwa inspired kuaandika baada ya kusoma maoni ya mwana jf huyu akiipongeza TCRA kumfungia Polepole na shule yake ya uongozi.

Mkuu Pythagoras , japo naunga mkono hoja ya TCRA kutumia professionalism kwenye vyombo vya utangazaji, na pia siungi mkono, kila Tom, Dick and Harry kujifanya ni watangazaji wa online TV, wengine ni wabwabwajaji tuu wenye ill motives behind, lakini mimi ni mtetezi wa haki!. Alichofanyiwa Polepole na TCRA kufungiwa hadi aajiri professional journalist, sio haki, na kulazimisha kila utoaji elimu mtandaoni kufuata misingi ya uandishi wa habari sio haki!.

Duniani kuna professionals mamilioni, bilioni au hata trilioni!, mfano mzuri ni angalia idadi ya waalimu, unapeleka mtoto shule ili kumfuata mwalimu na anafundishia darasani ili kuweka wanafunzi wengi pamoja. Huku kwetu kutokana na umasikini wetu ni lazima umpeleke mtoto shule. Kwa nchi za wenzetu, unaweza kuajiri Mwalimu akaja kwako kukufundishia mwanao. Hata baadhi ya vyuo vikuu, vikiwepo Oxford na Cambridge, sio lazima kila anayejiunga adahiliwe, wengine ni vilaza mpaka basi, akihudhuria lecture anatoka kapa, anafundishwa na ma profesa kwa spoon fed kupitia tutorials hadi anahitimu.

Ujio wa social media umefungua milango kwa mtu yoyote mwenye uwezo wowote, kufungua online class kufundisha chochote, kwa watu wowote bila kuvunja sheria, hivyo online classes kuzilazimisha kufuata misingi ya utoaji habari as news contents, sio haki!, huku sio kuwatendea haki Watanzania!.

Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!. Naunga mkono TCRA, blogs za uhabarishaji ziendeshwe na professional journalists lakini watu wenye professionals nyingine zote nao wawe huru kuendesha madarasa yao ya utoaji elimu mtandaoni kwa uhuru bila kila kitu mtandaoni kugeuzwa ni habari. Madaktari watoe elimu ya tiba, waalimu wawafundishe wanafunzi wao, waganga wa alternative medicine watoe elimu zao, wanasiasa nao waendeshe madarasa yao ya siasa kwa uhuru.

Kitu cha pili cha ajabu sana kuhusu hii TCRA yetu ni hii double standards yake.
Niliwahi kuzungumzia hii double standard ya TCRA enzi zile, kubana mitandao mingine huku ikigwaya mitandao mingine!Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla
View attachment 2049437



Yule kichaa aliyekuwa ana kashifu watu hadi kuwaponza Membe, Makamba, Kinana na January na Nape, kwa kukashifu na kutukana watu kupitia mtandao wake, mbona hakudhibitiwa?. Mbona hakutakiwa ku balance tuhuma zake na anao watuhumu?, why only Polepole?!.

Hongera kwa TCRA kusisitiza professionalism lakini TCRA iwatendee haki Watanzania, kilichofanywa kwa Polepole ni uonevu na sii haki. Sio kila utoaji elimu mtandaoni ni utoaji habari!.
Paskali
Ndivyo CCM inavyoendelea kuishi! Wakiharibu tunawazomea wakirekebisha tunawashangilia! Tatizo hatuwahoji kwanini waliharibu? Wao kila regime ikiingia nyingine machafu yanatupiwa iliyopita wakati chama ni kile kile.

Wapinzani ndio ma champions wa kufanya huu mfumo ufanye kazi. Wao ushindi ni wabaya wao kushughulikiwa bila kujali anashughulikiwaje.
 
Back
Top Bottom