technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kuna mambo tunatakiwa kupongeza kama tunavyokosoa.
Kiukweli kwenye swala la ukusanyaji kodi toka Rais Samia aingingie Madarakani yuko vizuri!
Kuna watu wanaleta propaganda kwamba bandarini tunaibiwa Sana lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mwezi huu wa 12 kavunja record yake ya mwaka jana na amefanikiwa kwa mwezi mmoja tu 12 kukusanya 2.7 trilioni.
Ninachopenda kwa Sasa kila mtu analipa kodi sitahiki uwe CCM uwe mpinzani.
Changamoto zipo ila sitaki kuwa na roho mbaya ila mimi kama mmoja wa walipa kodi nampongeza Rais wetu kwa kufanikiwa kwa angalau 80% pale TRA.
Hongera Rais Samia. Hongera TRA penye ukweli usemwe!!
Kiukweli kwenye swala la ukusanyaji kodi toka Rais Samia aingingie Madarakani yuko vizuri!
Kuna watu wanaleta propaganda kwamba bandarini tunaibiwa Sana lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mwezi huu wa 12 kavunja record yake ya mwaka jana na amefanikiwa kwa mwezi mmoja tu 12 kukusanya 2.7 trilioni.
Ninachopenda kwa Sasa kila mtu analipa kodi sitahiki uwe CCM uwe mpinzani.
Changamoto zipo ila sitaki kuwa na roho mbaya ila mimi kama mmoja wa walipa kodi nampongeza Rais wetu kwa kufanikiwa kwa angalau 80% pale TRA.
Hongera Rais Samia. Hongera TRA penye ukweli usemwe!!