Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe acha mikwara basi, tetea mada uliyoletaBe careful, nitakupoteza!
Nitamuomba Mungu upigwe BAN ya 24hours
Siwezi kuomba msamaha maana sijafanya kosa lolote. NakusubiriaBado hujaomba msamaha, ngoja nikunange mbwisi mkubwa
Usipige ngumi ukuta..wenye mawazo hayo ni haki yao ila wapotezee.Be careful, nitakupoteza!
Nitamuomba Mungu upigwe BAN ya 24hours
Hehehe mwaga mbona unachelewa....watu wamekaa mkao wa kula hapa fanya haraka watu waendelee na shughuli zaoSi hutaki? Ngoja nimwage kila kitu kuanzia jina lako halisi, mambo yako yaleeeee, ....
Khantwe ana ka kichwa kadogo kadogo kama ka mbuzi kadogosa, hivyo ubongo mchache!Watazamaji kama kawa tupo Tunasubiria mpmbno
Muda wote vs khantwe
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifanya kidume??? Omba msamaha fasterHehehe mwaga mbona unachelewa....watu wamekaa mkao wa kula hapa fanya haraka watu waendelee na shughuli zao
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio najifanya, miezi kiume kweli..kidume cha mbegu. Vipi unataka mimba?Unajifanya kidume??? Omba msamaha faster
Retired ila ujumbe umefika mkuu
Be careful, nitakupoteza!
Kwani unatania si ndiyo policy ya awamu hii! Where is Ben, azory etc
Nitamuomba Mungu upigwe BAN ya 24hours
It sounds rais hakosei😀😀 eti upotoshaji ! !Ni ombi langu kuwa watumishi wa afya wote watumie mask za N95. Hats kama mask za Vitambaa zimeruhusiwa kwenye jamii kwa ujumla ukweli ni kwamba mhudumu wa afya kumpàtia mask za vitambaa ni sawa na kumpa rungu askari aliyeko mstari wa mbele kwenye mapambano badsla ya machine gun.
Rsis Magufuli aliposhauri watu wajitengenezee mask za vitambaa hakumaanisha kuwa amebariki madaktari na manesi wapewe mask hizo!! Kuna taarifa ya baadhi ya hospital kuwapa watumishi wao mask za vitambaa!! Huu utakuwa ni upotoshaji mkubwa sana wa kauli ya Rais.
Napendekeza Wizara itoe tamko rasmi la kuzuia wahudumu wa afya kupewa mask za vitambaa.
Rais alishauri mask za vitambaa kwa jamii kwa sababu hali halisi hairuhusu kila mtu kumudu mask rasm. Hata Marekani wameruhusu mask za vitambaa lakini si kwa watumishi wa afya walioko mstari wa mbele kwenye vita hii.
Si hutaki? Ngoja nimwage kila kitu kuanzia jina lako halisi, mambo yako yaleeeee, ....