Hongera Wizara ya Afya kwa kukabiliana na uvumi wa maji ya ajabu Micheweni

Hongera Wizara ya Afya kwa kukabiliana na uvumi wa maji ya ajabu Micheweni

Jackbauer

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
6,053
Reaction score
2,207
Miaka kadhaa imepita baada ya Tanzania kushuhudia vifo vilivyotokana na usanii wa "Babu wa Loliondo".

Hivi karibuni kule micheweni Zanzibar palizuka uzushi mwingine wa uwepo wa maji yanayotoka ufukweni yakisemekana yanaweza kutibu magonjwa mbalimbali jambo ambalo limebainika sio la kweli.

Pongezi zangu ziwaendee wizara ya Afya Zanzibar kwa kufanya "timely and effective response" na hivyo kutoa ufafanuzi wa kitaalamu na kuepusha mhemuko wa jamii ambao ungepelekea vifo vinavyozuilika.
 
Watanzania ukiamua walisha kinyesi watakula maana wengi wagonjwa na wana amini vituvya ajabu ajabu
 
Pongezi zangu ziwaendee wizara ya Afya Zanzibar kwa kufanya "timely and effective response" na hivyo kutoa ufafanuzi wa kitaalamu na kuepusha mhemuko wa jamii ambao ungepelekea vifo vinavyozuilika.
Wametumia nguvu tu. Kuna maelezo gani ya kitaslamu yaliyowashawishi na kuwatuliza wananchi?

After all, Kuna wataalamu wa afya nchi hii? Wako wapi? Wamefanya nn?

Hawa hawa wanywa gongo walioshindwa hata kutengeneza bandage na Panadol?

Eti timely and effective response. Mxiuuuuu! Nani kawaidanganya kuwa kuandika kiingereza ndiyo utaalamu??
 
Wametumia nguvu tu. Kuna maelezo gani ya kitaslamu yaliyowashawishi na kuwatuliza wananchi?

After all, Kuna wataalamu wa afya nchi hii? Wako wapi? Wamefanya nn?

Hawa hawa wanywa gongo walioshindwa hata kutengeneza bandage na Panadol?

Eti timely and effective response. Mxiuuuuu! Na kawaidanganya kuwa kuandika kiingereza ndiyo utaalamu??
[emoji2] [emoji2] wewe kweli ni sexless, hautaki maujhingaujhinga mkuu
 
[emoji2] [emoji2] wewe kweli ni sexless, hautaki maujhingaujhinga mkuu
Huwa siupendi uwongo mkuu. Watu wametumia polisi wakawafukuza wananchi waliokuwa wakijipatia tiba kupitia maji halafu wanakuja kujisifia hapa.

Mbona hawaendi kutoa maelezo ya kitaslamu kwa wananchi wanaokusanyika Tanganyika Perkers kwa Mwamposa kununua maji?
 
Back
Top Bottom