Hongera Yanga kwa kupambana mziki wa Simba sio mchezo

Sijui alifuata sheria gani pale walau angekuwa hata kaumia kichwani basi.
 
Inawezekana kabisa mkuu. Nami nikuulize swali je nyie mashabiki wa simba kwa yanga ya msimu huu toka umeanza mliamini Yanga ingecheza mpira kama wa jana? So chochote cha wezekana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa vichezaji vyao ni vya magazetini tu vinarukaruka tu. Mpira ni sayansi,ni kitu kinachoonekana siyo janja janja na maneno meengiii! Wamesajili kichezaji kingine promo kibao kichezaji chenyewe kinaenda kwa mikopomikopo tu wao ndo wamekinunua
 
Simba mliomba game imalizike hata kabla ya dk 10 hivi. Mana hao kina Haruna mida hiyo ndo kwanza wakaanza kupandisha maruhani
Nimeuliza swali nataka mashabiki wa Simba wanijibu Mana yanga kaucheza mpira mwingi na come back ile inaitwa hatupoi ilikuwa Simba afe Tena si chin ya goli 4 na ile game Simba walipunguza kwa mganga wao wa pangani na mkoba mzima alikabidhiwa kagere na jamaa baada ya kutolewa lile hiriz hakumaliza akatoka uwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwa nini haikutolewa red card kama sheria inavyotaka au hata yellow

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ikitolewa yellow/red card kwa kuwa foul ipo nje ya box maana yake penalty ifutwe,Na matokeo yatakuwa Yanga 2-1 Simba [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
 
Inawezekana kabisa mkuu. Nami nikuulize swali je nyie mashabiki wa simba kwa yanga ya msimu huu toka umeanza mliamini Yanga ingecheza mpira kama wa jana? So chochote cha wezekana mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naamini, na niliandika humu kabla ya mechi kuwa kwa sasa kila mchezaji bongo anapenda kujitutumua siku ya mechi na Simba ili na yeye aweze kusajiliwa na matajiri hao.

Nikawaonya wanaSimba kuwa lazima wachezaji wa Yanga watapambana, nani anataka kukopwa mishahara yake, si bora ajitutumue mechi moja angalau aonekane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba mliomba game imalizike hata kabla ya dk 10 hivi. Mana hao kina Haruna mida hiyo ndo kwanza wakaanza kupandisha maruhani
Sio kweli, angalia Stats, mechi nzima Yanga walitawala dakika 20 tu, nazo ni baada ya goli la 2 la Simba, baada ya zile goli mbili za Yanga Simba wakaanza kutandaza football mpaka Boko akagonga besela, lilikuwa la tatu lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanamlaumu Manula, ukiwauliza kosa lake ni lipi hakuna majibu.

Rage hakukosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…