Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Sijui alifuata sheria gani pale walau angekuwa hata kaumia kichwani basi.Asee kuna kipindi Yanga tuliwanyang'anya mpira simba tukapanga shambulizi la hatari, ile tunakaribia kwenye kumi na nane kagere alivoona ile ni hatari akakaa chini na hako karefa kakasimamisha ile move. Nilitamani nikatandike makofi hata kupitia TV asee. Nilishangazwa sana na Yale maamuzi