OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ila nyie tuacheni uongo, haji manara kanywea sana siku hizi yani hana ule mzuka kama aliokuwa nao kipindi yupo simba .. press conference imepoa kinoma yani ..
Atakuaje na.mzuka wakati anajua mnaenda bamizwa nje ndaniIla nyie tuacheni uongo, haji manara kanywea sana siku hizi yani hana ule mzuka kama aliokuwa nao kipindi yupo simba .. press conference imepoa kinoma yani ..
Hii slogan ilitakiwa waseme thank you simbaView attachment 1929503
Huku ni kudhalilishana tu. Watu wa kimataifa mnaposikia hiyo slogan msije mkachukulie watz wote mabogus. Hapana,ni kikundi kidogo tu kimeamua kinaitwa Utopolo.
Waambieni watu Return hii ni kwa mbeleko ya Simba Sc
Anaenda bamizwa nani sasa kwani nani aliye kwambia kwamba mimi ni mwana utopoloAtakuaje na.mzuka wakati anajua mnaenda bamizwa nje ndani
Nasemea manara mkuu ndie hana mzuka maana anajua timu lake ni bovuAnaenda bamizwa nani sasa kwani nani aliye kwambia kwamba mimi ni mwana utopolo ..
Kwahiyo amedanganya?Manara sasa hivi hana content ya maana kwenye press ,hata yeye anajua anachokisema hakiamini anaongea kama kashikiwa bunduki ,Eti Tanzania hii jumla ya makombe yote Yanga ndo inaongoza ,waandishi wakaa kimya na yeye akajishtukia .Halafu siku hizi hataki maswali maana hana majibu
Kumbe ata wewe umeliona ilo,Manara wa hamasa akiwa Simba sio huyu wa Yanga,ajafunguka mpaka mwisho.kama kuna kitu hivi kakiacha.Ila nyie tuacheni uongo, haji manara kanywea sana siku hizi yani hana ule mzuka kama aliokuwa nao kipindi yupo simba .. press conference imepoa kinoma yani ..
Hana jipya.Ila nyie tuacheni uongo, haji manara kanywea sana siku hizi yani hana ule mzuka kama aliokuwa nao kipindi yupo simba .. press conference imepoa kinoma yani ..
Yanga mmetuzidi makombe ya ligi kuu tu ,kwa makombe yote jumla ligi kuu ,FA ,Mapinduzi ,Mtani jembe ,kagame ,yaani yote wanayoshiriki pamoja kwa jumla Yanga kaachwa mbali sanaKwahiyo amedanganya?