Hongera Yanga: Msafara wa Rwanda, Simba mna la kujifunza

Hongera Yanga: Msafara wa Rwanda, Simba mna la kujifunza

Igweee!

Naomba niende directly kwenye Point:

Mpira wetu hasa kwa ngazi za Vilabu umekuwa sana, na hii kwa kiasi kikubwa pia inachangiwa na hamasa kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwemo wasemaji wa vilabu vyetu. Lazima tukubali hili, uwekezaji unaweza ukawa mkubwa lakini kama hakuna hamasa kunakuwa hakuna chachu ya maendeleo.

Niende kwenye Pointi: Tumeona kuna heka heka nyingi sana za Vilabu vyetu pendwa kusafiri kwenda kuunga mkono timu zetu zikicheza michezo yao ya kwanza ugenini. Ndio timu zote zimefanya hamasa kuwa na ya kuvutia na mwitikio umekuwa mkubwa sana.

Pongezi kwa Yanga: Pamoja na yote tumeona hamasa kutoka kwa club ya Yanga! Mwanzo tulizani hawatafanya hili lakini tumeona toka msemaji wao amelitangaza mwamko umekuwa mkubwa sanaa. Kwa hesabu za haraka haraka kuna takribani magari au mabasi 40+ katika msafara kwenda Rwanda.

Ukiliangalia hili ni ugeni mkubwa sana Rwanda, na natumai wao pia watakubaliana nasi. Yanga wamefanikiwa sana katika hili kwa sababu, wanakwenda kuitangaza Club yao Rwanda sana na amini watapata wafuasi/mashabiki wengi sana baada ya hili.

HONGERENI SANA VIONGOZI WA YANGA: Mnaweza msijue impact au brand effect ya Yanga mnayoenda kuiacha Rwanda.
Ushamba na ulimbukenitu.
FB_IMG_1682646171032.jpg
 
Mngekua hata mnanyamaza kidogo...maana hivyo vimchoko vinavyo overtake hovyo..Mungu atulindie majirani zetu..
 
Mechi zinachezwa siku moja,ila tutaona mashabiki wa timu gani watakuwa wengi uwanjani.

Yanga wameondoka na Costa nyingi ila nakuhakikishia simba itakuta mashabiki wengi kule na wataweza kuwa wengi hata zaidi ya Yanga
Tuko Tunduma, tunajiandaa kuvuka.
any time
 
Simba ina mashabiki nchi zote za east Africa & sadc ahiitaji kupeleka mashabiki wengi huko.
Profile ya Simba Africa ni kubwa kuzidi timu zote za east Africa.
Mwandishi Habari Rwanda alisema yanga ina mashabiki wengi kuliko timu yoyote Tanzania , Uganda ndiyo kabisaaa na Burundi na DRC Kama kawaida
 
Unawasifia hao jamaa walioshindwa kwenda kuujaza uwanja katika sikukuu yao, ambapo wangetunisha mapato ya klabu yao moja kwa moja na sasa wanapeleka pesa Rwanda na wakodisha magari!
 
Igweee!

Naomba niende directly kwenye Point:

Mpira wetu hasa kwa ngazi za Vilabu umekuwa sana, na hii kwa kiasi kikubwa pia inachangiwa na hamasa kutoka kwa wadau mbalimbali wakiwemo wasemaji wa vilabu vyetu. Lazima tukubali hili, uwekezaji unaweza ukawa mkubwa lakini kama hakuna hamasa kunakuwa hakuna chachu ya maendeleo.

Niende kwenye Pointi: Tumeona kuna heka heka nyingi sana za Vilabu vyetu pendwa kusafiri kwenda kuunga mkono timu zetu zikicheza michezo yao ya kwanza ugenini. Ndio timu zote zimefanya hamasa kuwa na ya kuvutia na mwitikio umekuwa mkubwa sana.

Pongezi kwa Yanga: Pamoja na yote tumeona hamasa kutoka kwa club ya Yanga! Mwanzo tulizani hawatafanya hili lakini tumeona toka msemaji wao amelitangaza mwamko umekuwa mkubwa sanaa. Kwa hesabu za haraka haraka kuna takribani magari au mabasi 40+ katika msafara kwenda Rwanda.

Ukiliangalia hili ni ugeni mkubwa sana Rwanda, na natumai wao pia watakubaliana nasi. Yanga wamefanikiwa sana katika hili kwa sababu, wanakwenda kuitangaza Club yao Rwanda sana na amini watapata wafuasi/mashabiki wengi sana baada ya hili.

HONGERENI SANA VIONGOZI WA YANGA: Mnaweza msijue impact au brand effect ya Yanga mnayoenda kuiacha Rwanda.
Kuna siku Simba nao watalipiwa nauli km Yanga walivyofanya kwa mashabiki zao.
 
Ila hizi timu zina uongo mwingi Sana Kosta zilizovuka boda si zaidi ya 15 Ila hapa mnasema 40 zimeenda kuongezeka huko Rwanda au kwanini tusiwe tunafanya mambo Kwa uwazi ndio sababu hata viongozi wetu wamekuwa waongo Kwa kutupa ahadi hewa kila siku sababu tumezoea Kuongopewa
 
Formula ni kwamba Zambia kuna mashabiki kibao tu wa Simba. Ukiacha hilo, Chama na Phiri pale watakuwa home (na kama kuna timu itajifeel home huko ugenini hiyo kesho basi ni Simba) na kuna Wazambia kibao wataingia kuwaona vijana wao hao wawili wakisakata gozi la ng'ombe.
Hawataenda kuiona power dynamos ya kwao ila wataenda kuiona Simba yenye phiri na chama?au sijakuelewa?
 
Simba basi zaidi ya 12 yanga ana costa 16 mwenye akili ashaelewa nani kafanya vizuri
 
Mechi zinachezwa siku moja,ila tutaona mashabiki wa timu gani watakuwa wengi uwanjani.

Yanga wameondoka na Costa nyingi ila nakuhakikishia simba itakuta mashabiki wengi kule na wataweza kuwa wengi hata zaidi ya Yanga
ni kweli ZAMBIA WACHAWI WENGI KWAHIYO LAZIMA WAJAE KWA WACHAWI WENZAO

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom