Kati ya timu 16 zilizoingia Makundi Ni timu 6 tuu ndio za Waarabu..
Hapa Yanga Ina nafasi ya kufika robo fainali wakichanga karata vizuri..
Omba kwenye kundi lao wasipangiwe pyramid,far Rabat,USM Algers,Rivers United na Mazembe,waliosalia wanfungika.