Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

Zitto Kabwe kafunga ndoa leo huko Visiwani Zanzibari.
68b0b7fe5e830a89fae6445aad93d1c4.jpg

Dah, kumbe ilikuwa Zanzibar. Ndiyo maana kila nikimuangalia shemeji yetu namuona kama chotara-chotara, mtoto 'shombe-shombe', mtoto kama kashushwa!
 
Mbunge wa mjini leo akmjinamefunga ndoa na mchumba wake Hongera dogo naona sasa atatuliza akili na kuacha kumuattack personMagufuli Magufuli. W mke wa zitto mtulize zitto asiwe ana bwa bwaja hovyo kumnanga rais wetu JPM.
Unawahi nini? mkuu
 
Back
Top Bottom