Hongera Zuchu na Rayvanny kwa ushindi wa kishindo mmeipa heshima Tanzania

Hongera Zuchu na Rayvanny kwa ushindi wa kishindo mmeipa heshima Tanzania

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20221120_100432.jpg


20221120_100441.jpg


Zuchu na Rayvanny ndiyo wameibuka kuwa wasanii bora kabisa mwaka huu hapa Afrika Mashariki.

Supastaa Zuchu anakimbiza sana mitaa yote Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC, Djibouti n.k.

Kwikwi ni pandemic, watoto wamechanganyikiwa kila kona. Kutoka kuitwa muimba taarab mpaka kuwa brand namba moja ya kike East Africa kiukweli mtoto wa kike anajituma sana.

Rayvanny pure talent, anapiga muziki wa kimataifa usiyo na majungu wala kutaja majina ya watu ili aonewe huruma kila siku. Kijana mwenye focus aliyeelewa vizuri biashara ya muziki na hela ya muziki inapatikana vipi.

Well deserved kwa wote wawili.

Wengine wasubiri tuzo za Basata kila mtu na majaliwa yake.
 
Ndio maisha ya mpambanaji jinsi yalivyo, leo kapata watu kumi anajifunza kesho atajaza kama anavyojaza Diamond Platnumz aka Simba.

Uzuri amekubali hakufanya vizuri na nguvu yake kwenye nchi za weupe bado ndogo, anaendelea kujipanga. Only sky is the limit.

Angeweza kudanganya kwa video za kutengeneza kama wengine walivyofanya walivyopata watu 7, lakini unamdanganya nani au wamakonde wenzio?

Ni kama kununua views kwa wasanii wako ili kudanganya ni wakubwa mwisho wa siku lebo inakufa kwa kushindwa kutengeneza pesa.

Ukweli umemuweka huru supastaa wetu.
Samahani mkuu, hivi hapa Mada Ni Zuchu na Tuzo pamoja na jamaa aliyechomekea show yake huko USA au kuna suala la Mmakonde pia?
 
Kipengele cha Best Male wa East Africa alikuwepo Simba na Chui hatimae Chui kabeba tuzo [emoji23]

Maumivu ya Houston hayajapoa yakaja ya Dallas [emoji134]
Ukisikia msumali kwenye kidonda ndio kama hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipengele cha Best Male wa East Africa alikuwepo Simba na Chui hatimae Chui kabeba tuzo [emoji23]

Maumivu ya Houston hayajapoa yakaja ya Dallas [emoji134]
Wapo pamoja muda huu;

Simba: mpenzi vipi show yako imeendaje?

Zuchu: mie nimefuata tuzo yangu, vipi wewe hujapata?

Simba: sijafuatilia hata, mi nilikuwa na show ya maana na imejaza vibaya mno...

HAWACHEKANI HAWA.
 
Back
Top Bottom