Huyo mmakonde hata tuzo hizo anashindwa na hao zuchu na RayChawa wa mtoboa pua huyo, hajawahi kukumbali Mmakonde hata siku 1.
Abaki na umbumbumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mmakonde hata tuzo hizo anashindwa na hao zuchu na RayChawa wa mtoboa pua huyo, hajawahi kukumbali Mmakonde hata siku 1.
PengineAlright, kumbe kipimo cha tuzo kuwa ndogo ni pale Alikiba na Nandi wanapoweza kuzichukua.
Asante kwa ufafanuzi huo.
Ndiyo kwanza bado tupo January lakini Diamond platnumz tayari ameshatoa video bora ya mwaka 2024, kitu gani umekipenda kutoka kwenye hii video ya "yatapita".?View attachment 2421697
View attachment 2421700
Zuchu na Rayvanny ndiyo wameibuka kuwa wasanii bora kabisa mwaka huu hapa Afrika Mashariki.
Supastaa Zuchu anakimbiza sana mitaa yote Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC, Djibouti n.k.
Kwikwi ni pandemic, watoto wamechanganyikiwa kila kona. Kutoka kuitwa muimba taarab mpaka kuwa brand namba moja ya kike East Africa kiukweli mtoto wa kike anajituma sana.
Rayvanny pure talent, anapiga muziki wa kimataifa usiyo na majungu wala kutaja majina ya watu ili aonewe huruma kila siku. Kijana mwenye focus aliyeelewa vizuri biashara ya muziki na hela ya muziki inapatikana vipi.
Well deserved kwa wote wawili.
Wengine wasubiri tuzo za Basata kila mtu na majaliwa yake.