Hongera Zuchu na Rayvanny kwa ushindi wa kishindo mmeipa heshima Tanzania

Hongera Zuchu na Rayvanny kwa ushindi wa kishindo mmeipa heshima Tanzania

View attachment 2421697

View attachment 2421700

Zuchu na Rayvanny ndiyo wameibuka kuwa wasanii bora kabisa mwaka huu hapa Afrika Mashariki.

Supastaa Zuchu anakimbiza sana mitaa yote Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Congo DRC, Djibouti n.k.

Kwikwi ni pandemic, watoto wamechanganyikiwa kila kona. Kutoka kuitwa muimba taarab mpaka kuwa brand namba moja ya kike East Africa kiukweli mtoto wa kike anajituma sana.

Rayvanny pure talent, anapiga muziki wa kimataifa usiyo na majungu wala kutaja majina ya watu ili aonewe huruma kila siku. Kijana mwenye focus aliyeelewa vizuri biashara ya muziki na hela ya muziki inapatikana vipi.

Well deserved kwa wote wawili.

Wengine wasubiri tuzo za Basata kila mtu na majaliwa yake.
Ndiyo kwanza bado tupo January lakini Diamond platnumz tayari ameshatoa video bora ya mwaka 2024, kitu gani umekipenda kutoka kwenye hii video ya "yatapita".?
 
Back
Top Bottom