Hongeraaa Sana mama Samia kwa mafuriko ya watalii

Hongeraaa Sana mama Samia kwa mafuriko ya watalii

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Kwanza nianze kumpongeza mh Rais kwa ziara yake anayoendelea nayo mkoani mbeya, Baada ya utangulizi huo naomba Sasa nianze kwa kusema hongera Sanaa mh Rais kwa kuikuza secta ya utalii, kiukweli kwa mafuriko ya watalii yanavyoendelea kushuhudia hapa nchini Nina kila sababu ya kumpongeza mh Rais, maana hii Ni matunda ya juhudi za Rais katika kukuza utaliii kupitia Royal Your iliyosaidia Sanaa kuitangaza vivutio vyetu vya utalii pamoja na kukutana na makampuni mbalimbali ya utalii, lakini vilevile nampongeza mh Rais kwa namna ambavyo ameendelea kuboresha secta ya utalii ikiwemo miundombinu ya Barabara na kuweka Sera nzuri, Asante Sana Rais wetu na Nakuomba uendelee na mwendo huo huo pasipo kuchoka Wala kukata tamaaa,
 
Bado wapumbavu wanaongezeka sana nchi hii!.

Mafuriko ya watalii gani hao?.
Hizi story waadithieni wadogo zenu huko sebureni kwenu baada ya kula.

Covid, msimu hamviongelei kabisa bali mnabaki kupiga zumari na shangwe kwa kiziwi, alafu nowadays ni mpaka vijana wanasiasa waliojipa uzee kwenye vyama wanampigia kiziwi zumari ya wingi wa watalii, aaah!.
 
Wananchi tunamuunga mkono,Rais wetu.
Kwanza nianze kumpongeza mh Rais kwa ziara yake anayoendelea nayo mkoani mbeya, Baada ya utangulizi huo naomba Sasa nianze kwa kusema hongera Sanaa mh Rais kwa kuikuza secta ya utalii, kiukweli kwa mafuriko ya watalii yanavyoendelea kushuhudia hapa nchini Nina kila sababu ya kumpongeza mh Rais, maana hii Ni matunda ya juhudi za Rais katika kukuza utaliii kupitia Royal Your iliyosaidia Sanaa kuitangaza vivutio vyetu vya utalii pamoja na kukutana na makampuni mbalimbali ya utalii, lakini vilevile nampongeza mh Rais kwa namna ambavyo ameendelea kuboresha secta ya utalii ikiwemo miundombinu ya Barabara na kuweka Sera nzuri, Asante Sana Rais wetu na Nakuomba uendelee na mwendo huo huo pasipo kuchoka Wala kukata tamaaa,
 
Naamini mnapinga tu lakini ukweli ndani ya mioyo yenu mnajuwa kuwa hamasa na uwekezaji katika sekta ya utalii imeleta tija na kuongeza watalii hapa nchini, mama Samia hakika ameifungua nchi kwa Sasa na watu wanafurika kuingia nchini kuwekeza na kutalii
 
mmepanga magari tupu barabarani mkaya-film kisha mnasema mafuriko ya utalii
 
Naamini mnapinga tu lakini ukweli ndani ya mioyo yenu mnajuwa kuwa hamasa na uwekezaji katika sekta ya utalii imeleta tija na kuongeza watalii hapa nchini, mama Samia hakika ameifungua nchi kwa Sasa na watu wanafurika kuingia nchini kuwekeza na kutalii

Hao watalii wanakuja kwa wingi maana hii ni high season na wala sio kwa hizo sifa za kijinga mnazotoa. Kama kweli yeye ameweza kuleta watalii na sio kwamba watalii wanakuja kwa sababu nyingine za msingi, mbona hajaleta mafuriko ya wawekezaji kwenye viwanda, au hajaita wawekezaji? Acheni upotoshaji wa kijinga.
 
wakikiupa hizo data na verified information zao nitag hizi photoshop zao tumeshazitambua waache ujingaujinga nchi ishayumba

Watalii wapo kweli tena wengi, lakini hawajaletwa kwa ushawishi wa royal tour kama huyu chawa anavyopotosha.
 
Naamini mnapinga tu lakini ukweli ndani ya mioyo yenu mnajuwa kuwa hamasa na uwekezaji katika sekta ya utalii imeleta tija na kuongeza watalii hapa nchini, mama Samia hakika ameifungua nchi kwa Sasa na watu wanafurika kuingia nchini kuwekeza na kutalii
Wewe punguani watalii wameongezeka kutoka wangapi hadi wangapi?

Kuna mwaka hii nchi haijawahi kupata watalii?

Watalii wameongezeka wangapi?
 
Kwanza nianze kumpongeza mh Rais kwa ziara yake anayoendelea nayo mkoani mbeya, Baada ya utangulizi huo naomba Sasa nianze kwa kusema hongera Sanaa mh Rais kwa kuikuza secta ya utalii, kiukweli kwa mafuriko ya watalii yanavyoendelea kushuhudia hapa nchini Nina kila sababu ya kumpongeza mh Rais, maana hii Ni matunda ya juhudi za Rais katika kukuza utaliii kupitia Royal Your iliyosaidia Sanaa kuitangaza vivutio vyetu vya utalii pamoja na kukutana na makampuni mbalimbali ya utalii, lakini vilevile nampongeza mh Rais kwa namna ambavyo ameendelea kuboresha secta ya utalii ikiwemo miundombinu ya Barabara na kuweka Sera nzuri, Asante Sana Rais wetu na Nakuomba uendelee na mwendo huo huo pasipo kuchoka Wala kukata tamaaa,
Tunafukuza chawaaaa, tunafuza chawaa, toka chawa.
 
Kwanza nianze kumpongeza mh Rais kwa ziara yake anayoendelea nayo mkoani mbeya, Baada ya utangulizi huo naomba Sasa nianze kwa kusema hongera Sanaa mh Rais kwa kuikuza secta ya utalii, kiukweli kwa mafuriko ya watalii yanavyoendelea kushuhudia hapa nchini Nina kila sababu ya kumpongeza mh Rais, maana hii Ni matunda ya juhudi za Rais katika kukuza utaliii kupitia Royal Your iliyosaidia Sanaa kuitangaza vivutio vyetu vya utalii pamoja na kukutana na makampuni mbalimbali ya utalii, lakini vilevile nampongeza mh Rais kwa namna ambavyo ameendelea kuboresha secta ya utalii ikiwemo miundombinu ya Barabara na kuweka Sera nzuri, Asante Sana Rais wetu na Nakuomba uendelee na mwendo huo huo pasipo kuchoka Wala kukata tamaaa,
Yaani umeshindwa kutafakari na kufikiri!! Kuwa huu ni wakati wa Summer Kwa wenzetu na kabla ya COVID 19 walikuwa wanakuja sana kipindi hiki. Sisi tunaowapeleka huko mbugani tunaelewa sana. Sasa COVID 19 iliharibu saana hali ya utalii.
Kitendo cha Rais Samia kuanzisha Hiyo Royal ni janja ya kujitengenezea pesa! Hujui ni biashara hiyo na kweli ameipatia Baada ya COVID 19 kupungua Kwa kiwango ya juu.

Subiri na weka tafiti ifikapo mwezi September kutakuwa na kaupungufu Fulani sio kama uonavyoa sasa.
Yote heeri Kuna kunufaika na walaaji wako wengi..!
 
Back
Top Bottom