Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Wakati mwingine nafikiri Israel inaachilia makombora yasiyo na madhara ili inapolalamika inavamiwa jumuiya ya mataifa iwaelewe vizuri
Pia inaachia makombora yasiyo na madhara makubwa ili ikilipa kisasi mataifa mengine yaweze kuelewa nani mchokozi na mkorofi
Kwa Sasa Yemen na Lebanon ikipokea kipigo KUTOKA Israel nafikiri Israel haitakuwa na lawana za kimataifa
MWISHO nipongeze houth kwa kufyeka mamilion ya nyasi za Israel 😀😀😀😀😀
Pia inaachia makombora yasiyo na madhara makubwa ili ikilipa kisasi mataifa mengine yaweze kuelewa nani mchokozi na mkorofi
Kwa Sasa Yemen na Lebanon ikipokea kipigo KUTOKA Israel nafikiri Israel haitakuwa na lawana za kimataifa
MWISHO nipongeze houth kwa kufyeka mamilion ya nyasi za Israel 😀😀😀😀😀