fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Jitekenye uchekeNawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
Ndio,huoni kuwa Simba kafungwa na Yanga mbovu jana ikiwa na wacheza dance wa KikongoGSM kamuonga hata MO ?duu ww kapimwe mkojo
Tumefungwa kihalali tulikubali hilo tena kwa bonge la shuti. Tusubiri msimu ujao, kizuri ni kwamba hatutasubiri kwa miaka mitano kama wenzetu walivyosota!Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.