Hongereni GSM kwa kuweza kuwanunua Simba match ya leo

Hongereni GSM kwa kuweza kuwanunua Simba match ya leo

Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
Jitekenye ucheke
 
si kuweweseka huko! mkimaliza kuongea Kiswahili mtaongea kizungu kichina na kihutu! goli moja linauma acha mchezo! Feisaaaaaaaaalll@!@
 
Kooo kahongwa na gsm ili auze mechi. Maana yanga bila bahasha hamna kitu.

Semeni kolo mmehongwa bei gani.
 
Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
Tumefungwa kihalali tulikubali hilo tena kwa bonge la shuti. Tusubiri msimu ujao, kizuri ni kwamba hatutasubiri kwa miaka mitano kama wenzetu walivyosota!
 
Back
Top Bottom