Hongereni GSM kwa kuweza kuwanunua Simba match ya leo

Hongereni GSM kwa kuweza kuwanunua Simba match ya leo

Hata kama yanga wananunua mechi lakini wako vzur msimu huu
 
Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
Ha haaa...umetisha Mwananchi.
 
Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
Ha haaa...umetisha Mwananchi.
 
Koloz wasihangaike kusajili tena fedha zao wawekeze kitengo cha uchunguzi kuwabaini GSM maana wanauwezo Sawa na Real Madrid ila bahasha za GsM ndizo zimepelekea kupotea msimu huu.
 
Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
GSM kamuonga hata MO ?duu ww kapimwe mkojo
 
Nawapa hongera sana GSM kwakufanikiwa kutembeza bahasha za kaki kwa MO na CEO wake Barbara ili Yanga amfunge Simba kwa goal moja bila kwenye nusu fainali ya Azam Sport Federation, hongera sana Engineer Hersi Said maana hatimae zile bahasha zako hazikuisha kwa wakina Ruvu na Mbeya kwanza tuu bali zimevuka mipaka mpaka mitaa ya Msimbazi.
😄😄😄😄😄😄😄👍👍👍
 
Koloz wasihangaike kusajili tena fedha zao wawekeze kitengo cha uchunguzi kuwabaini GSM maana wanauwezo Sawa na Real Madrid ila bahasha za GsM ndizo zimepelekea kupotea msimu huu.
😄😄😄😄👍👍👍👍
 
Back
Top Bottom