Hongereni JWTZ na Watanzania kwa kuwa na 'Ndege Vita' nzuri zilizokuwa 'zinazurula' tu Anga la Tanzania leo Mchana

Hongereni JWTZ na Watanzania kwa kuwa na 'Ndege Vita' nzuri zilizokuwa 'zinazurula' tu Anga la Tanzania leo Mchana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni 'Ndege Vita' nzuri sana tena za Kisasa kabisa Rangi ya Udongo ambazo zitasaidia mno Tanzania kuwa juu Kiuchumi, Maji kutopungua Mto Ruvu na hata Umeme kutokatika hovyo Tanzania.

Pia ni 'Ndege Vita' nzuri mno ambazo nina uhakika nchi kama Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na Msumbiji hawana na kamwe hawataweza Kuthubutu kuwa nazo kwani wanaotakiwa ( wanaopaswa ) kuwa nazo ni Tanzania na Watanzania tu pekee.

Kwa Kumalizia ni 'Ndege Vita' ambazo zitafanya matatizo makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini kumalizika kabisa Tanzania huku zikisaidia pia katika Kuondoa Ufisadi na kutufanya Watanzania tuache Kuhangaika 'Kuzurula' hovyo Ulaya kwenda Kuomba Pesa za Misaada.

Ni 'Ndege Vita' za Miaka 60 ya Uhuru.
 
Matumizi mabaya ya Kodi zetu,ukiimarisha demokrasia na ujirani mwema uhitaji kupoteza kodi kugharamia jeshi.
Bahati mbaya Watu 'very brainy' kama Wewe si tu hawapendwi bali hawataki hata kuendelea Kupumua hapa Tanzania Ila Wanafiki, Wezi na Washirikina ( Wachawi ) ndiyo hukubalika na kupewa Vipaumbele.
 
Bahati mbaya Watu 'very brainy' kama Wewe si tu hawapendwi bali hawataki hata kuendelea Kupumua hapa Tanzania Ila Wanafiki, Wezi na Washirikina ( Wachawi ) ndiyo hukubalika na kupewa Vipaumbele.
Wabongo kwa upigaji ni hatari,
 
Bahati mbaya Watu 'very brainy' kama Wewe si tu hawapendwi bali hawataki hata kuendelea Kupumua hapa Tanzania Ila Wanafiki, Wezi na Washirikina ( Wachawi ) ndiyo hukubalika na kupewa Vipaumbele.
Hahaha Genta bhana..

Wachawi, wezi na wanafiki Sio...

Walikufanya nini Hao maana ndio wamejaa kule unakopapenda sana.. Mzee wa insidaa
 
Ni 'Ndege Vita' nzuri sana tena za Kisasa kabisa Rangi ya Udongo ambazo zitasaidia mno Tanzania kuwa juu Kiuchumi, Maji kutopungua Mto Ruvu na hata Umeme kutokatika hovyo Tanzania.

Pia ni 'Ndege Vita' nzuri mno ambazo nina uhakika nchi kama Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi na Msumbiji hawana na kamwe hawataweza Kuthubutu kuwa nazo kwani wanaotakiwa ( wanaopaswa ) kuwa nazo ni Tanzania na Watanzania tu pekee.

Kwa Kumalizia ni 'Ndege Vita' ambazo zitafanya matatizo makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini kumalizika kabisa Tanzania huku zikisaidia pia katika Kuondoa Ufisadi na kutufanya Watanzania tuache Kuhangaika 'Kuzurula' hovyo Ulaya kwenda Kuomba Pesa za Misaada.

Ni 'Ndege Vita' za Miaka 60 ya Uhuru.
Critical Thinking.... Kongole kuliona hili...
 
Matumizi mabaya ya Kodi zetu,ukiimarisha demokrasia na ujirani mwema uhitaji kupoteza kodi kugharamia jeshi.
Yafaa nini mtu hadi anastaafu ajawahipiga hata risasi
Kwa hiyo uimara wa majeshi ya nchi za magharibi ni kwa sababu hawajaimarisha demokrasia?
Lakini pia kwanini tunapenda exclusivity?
Kwamba hatuwezi kuwa na ndege za kivita kwa sababu shule za msingi hazina matundu ya vyoo?
Au hatuwezi kununua ndege za ATCL kisa kuna wilaya hazina hospitali za wilaya?

Sekta haziingiliani saana.
 
Back
Top Bottom