Hongereni JWTZ na Watanzania kwa kuwa na 'Ndege Vita' nzuri zilizokuwa 'zinazurula' tu Anga la Tanzania leo Mchana

Hongereni JWTZ na Watanzania kwa kuwa na 'Ndege Vita' nzuri zilizokuwa 'zinazurula' tu Anga la Tanzania leo Mchana

Kuna ndege mpya JWTZ imepatiwa? Sitaki kuamini kama uchumi wetu unaruhusu. Namlaumu Kikwete kuagiza Chengdu J-7G miaka ya kuanzia 2012 wakati ni ndege very outdated kwa sasa. Hizo Mig 21 tulitumia kipindi cha vita ya Iddi Amin hadi leo zipo sijui hata status yake kama ni functional na serviceability status
Kwani wamenunua zipi?

Nakumbuka Uganda wana Sukhoi model ya SU-30 ni hatari mashine hizi.
 
Ni sauti ya SU au MIG wajitahidi angalau wapate F16 ramptor
 
Africa, nchi iliyokuwa smart kwa nguvu ya kijeshi, Ethiopia haikuwahi kukosekana kwenye top ten.

Vp Léo kulikoni
 
Ni wazi hatujafika level ya juu ya sophistication kuendana na mahitaji ya vita za leo, lakini juhudi zenye muendelezo zinafanyika kila uchwao.

Benchmark ya utayari wa kivita na zana za kijeshi wa Jwtz huwezi kuuweka kwenye mizania moja na US Army. Kuendana na mazingira yetu, tupo better off kuliko majirani zetu. Ingawa mengi inabidi yafanyike.

Nakubaliana na wewe kwenye Navy, kulingana na ukubwa wa pwani yetu, more is to be done.
Hivi lete moderm equipment za jwtz tuzione tuu. Kuanzia UAV , IFV, MRAP, air defense system, jet, military gear.
Mizinga ya kisasa? N.k Lete hapa tuzione.

T14 Armata
 
Back
Top Bottom