Kwani wamenunua zipi?Kuna ndege mpya JWTZ imepatiwa? Sitaki kuamini kama uchumi wetu unaruhusu. Namlaumu Kikwete kuagiza Chengdu J-7G miaka ya kuanzia 2012 wakati ni ndege very outdated kwa sasa. Hizo Mig 21 tulitumia kipindi cha vita ya Iddi Amin hadi leo zipo sijui hata status yake kama ni functional na serviceability status
Kuwa na midege au vifaa sio ulinziUlinzi ni muhimu...si unaona kinachoendelea Ethiopia na Msumbiji..maendeleo, elimu haviwezekani pasipokuwa na ulinzi
Ni nyenzo za ulinzi.
Hivi lete moderm equipment za jwtz tuzione tuu. Kuanzia UAV , IFV, MRAP, air defense system, jet, military gear.Ni wazi hatujafika level ya juu ya sophistication kuendana na mahitaji ya vita za leo, lakini juhudi zenye muendelezo zinafanyika kila uchwao.
Benchmark ya utayari wa kivita na zana za kijeshi wa Jwtz huwezi kuuweka kwenye mizania moja na US Army. Kuendana na mazingira yetu, tupo better off kuliko majirani zetu. Ingawa mengi inabidi yafanyike.
Nakubaliana na wewe kwenye Navy, kulingana na ukubwa wa pwani yetu, more is to be done.