Hongereni kina dada/wanawake wa aina hii!

Mwanamke wa hivyo hapana atanilemaza, mi nataka nimerudi nikuulize ugali umepikaje na hela sikuacha unijibu mbovu tuanze kubondana kwanza.

Tuburuzane mtaa mzima watujue

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
 
Nikionaga mwanaume Wa hvo lazma mke wake ni mmendee,lazima npate papuchi
 
Mwanamke wa hivyo hapana atanilemaza, mi nataka nimerudi nikuulize ugali umepikaje na hela sikuacha unijibu mbovu tuanze kubondana kwanza.

Tuburuzane mtaa mzima watujue
Duuuuh!
 
Duh! Kabebwa anaogopa kukanyaga maji ya mvua.
Nalog off
 
Matukio ya mjini darusalama na mdogo wake tanga.
 
Hamna mkuu,walishaisha kitambo ss hv wamebaki wale ukimwaga ugali yy anamwaga mboga au wale weka ugoko niweke chuma basi.
Wapo sana tu. Shidah ni kwamba wale wenye mapoz ndio wengi kuliko wenye roho nzuri.

Nimewah kuwa na mmoja wa hivyo.
 
dah nimecheka sana aisee!
watu wa humu mmevurugwa sana,h ahah ahahah ah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…