Yajayo ya nyokooooo!Yashapita hayo, tugange yajayo.
Bado mbio za ubingwa hazijafika mwisho.
Kolo lingine hili hapa, kama watu wa nje wanaweza kuwapiga 5 G basi tuwape timu maana waliopo wamekubali kufungwa.Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.
Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.
Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Endelea kudhihirisha umbumbumbu wako.Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.
Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.
Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Acha kujichezea kwapa unajitekenya
Najua mna hasira. Sijaona ubaya wa comment yangu. Mtazoea tuHayakuhusu...ukisoma ukiona haikupendezi si lazima kureply...
Kweli GAMOND sio mtu mzuri.. watu wamekuwa wakali😂😂😂Sawa kaka kakusikia
Liver alilimwa 7, Man U alilimwa 6 lakini huwezi kusikia fulani alituhujumu na ishu kama hizo.Mbona hata kwenye EPL timu zinapigwa hadi magoli 8, 9 lkn hayasemwi haya yote. Watanzania bogus sana.
Acha ushabiki maandazi mpira umepigwa uwanjani na sio chumbaniSimba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.
Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.
Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Unasajili wachezaji wa kuwaiba airport unatdgemea nini? Usajili ni sayansi siyo ubabaishaji. Timu yenu ni mbovu usitafute visingizio. Simba mnajidanganya mna timu nzuri wakati ni magalasa tu.Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.
Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.
Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.