Hongereni mliokula njama za kuihujumu Simba leo, lakini mjue Mangungu hatoachia timu asilani

Hongereni mliokula njama za kuihujumu Simba leo, lakini mjue Mangungu hatoachia timu asilani

Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.

Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.

Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Kolo lingine hili hapa, kama watu wa nje wanaweza kuwapiga 5 G basi tuwape timu maana waliopo wamekubali kufungwa.
Kila siku mnalalamika timu inacheza kikolokolo leo umesahau. Kila mechi simba inashinda papatu papatu mchezo mbovu, sasa kwa mchezo gani msifungwe 5 G?
 
Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.

Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.

Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Endelea kudhihirisha umbumbumbu wako.
 
Mbona hata kwenye EPL timu zinapigwa hadi magoli 8, 9 lkn hayasemwi haya yote. Watanzania bogus sana.
Liver alilimwa 7, Man U alilimwa 6 lakini huwezi kusikia fulani alituhujumu na ishu kama hizo.

Na mpira wa bongo umekua sana, ila mashabiki na viongozi uchwara ndo huleta propaganda za kipuuzi kama hizi.
Na hizi mambo huwagharimu wao wenyewe.

Toka simba day tuliwaambia hamna timu hapo, kila mechi wanaruhusu goli tukawaambia hamna timu hapo wakabisha.

Ona sasa wamelimwa mkono nao, tumewaingiza kwenye list ya timu tulizozichapa mkono msimu huu.
 
Saido, chama miquison ni wachezaji butu hao. Kibu manguvu angalau hutumia manguvu yake kutia jambajamba timu pinzani.

Chama ni mzuri timu ikiwa inashambulia na inakaa na mpira.
Leo alipotea kabisa na hata alipotoka kwakweli wengi hatukujua maana hamna kilichokua kimebadirika.
 
Timu Mbovu zilizofungwa na Yanga Msimu huu 2023/2024 mpaka sasa;

1. KMC - Goli 5
2. JKT Tanzania - Goli 5
3. AZAM - Goli 3
4. SIMBA - Goli 5

Hamsa [emoji113]...,bado hamjasema [emoji1]
 
Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.

Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.

Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Acha ushabiki maandazi mpira umepigwa uwanjani na sio chumbani
 
Simba sio ya kufungwa bao 5 hata kama mpira unadunda kiasi gani, ulisukwa mkakati wa muda mrefu baina ya wanaojiita wajanja wa mjini ambao wameondolewa ndani ya Simba na wale walioshindwa kwenye uchaguzi wakaamua kuungana na adui ili tu akina Mangungu waonekane hawana uwezo.Ukweli ni kuwa wale walioondolewa ktk benchi la ufundi na kupelekwa Simba B nao wameshiriki kwenye usaliti huo, wenyewe wanadai ndio wenye Simba yao, haya yaliyofanyika leo ndio yale yale yaliyofanyika wakati wa Yanga ya Nchunga Lyod ambapo marehem Mzee Akilimali aliisaidia Simba kuwaua Yanga bao 5 0 na siku ile alisema kabisa na ninamnukuu, "Tuone kama Simba atafungwa" mwisho wa kunukuu, Yanga akala mkono.

Leo wasaliti ndani ya Simba wamechukua mzigo wao mapema na wakaeleza A to Z kwa maadui zetu.Lengo lao warudishwe ndani ya timu ili maisha yaendelee.

Mashabiki na wanachama wala msiumie, Simba haikufungwa kimpira leo, wasaliti ndani ya timu ambao wako nje ndio wameifunga Simba leo, Yanga mtoto mdogo sana, sana tena, ila wamepewa furaha na watu wetu wasiompenda Mangungu.
Unasajili wachezaji wa kuwaiba airport unatdgemea nini? Usajili ni sayansi siyo ubabaishaji. Timu yenu ni mbovu usitafute visingizio. Simba mnajidanganya mna timu nzuri wakati ni magalasa tu.
 
Back
Top Bottom