Hongereni mliokula njama za kuihujumu Simba leo, lakini mjue Mangungu hatoachia timu asilani

Hina akili
 
Leo tumekatika wenyewe nadhani na uchovu na uzee na ulege lege wa baadhi ya wachezaji ulichangia.
 
Mnataka tuseme muone tunatukana, haya Sawa. Lakini kuna Mtu anaamini Ile ni timu ya ushindani kabisa basi pole yake.
 
sasa mkuu tatizo ni eneo la mwisho au ,kiujumla eneo la kiungo kulikuwa na watu wachache wew huwezi kuweka viungo wawili against watu 5 wa wapinzani na inajulikana kabisa eneo la kiungo la mpinzan liko imara what a mistake from coach sielewi hata alikuwa na malengo gani kweka viungo wawili na kumwanzisha Manula kwenye mechi kubwa hii
 
Kama Simba haijawahi mfunga Yanga 5 kwa 0
Basi na mlieeeeeeee....
Mjigaragaze...
Usikupe kipenzi vumilieni mtaponaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5 inauma sana najua🀣🀣
 
Mpira una Matokeo 4

1. Kushinda
2.sare
3.kushindwa
4. Kushindwa kwa kipigo
 
Unasajili wachezaji wa kuwaiba airport unatdgemea nini? Usajili ni sayansi siyo ubabaishaji. Timu yenu ni mbovu usitafute visingizio. Simba mnajidanganya mna timu nzuri wakati ni magalasa tu.
mpira ni mchezo wa makosa kwani ninyi mlivyofungwa na Ihefu tulisema ninyi ni wabovu stay tune football is a game of chance hata kocha wenu alisema atakayefanya kosa atakuta mpira wavuni sisi ni akina nani tusifungwe Brazil kapigwa 7 Al ahly kapigwa 5 kwann Simba asifungwe cha msingi ni kurekebisha makosa tuu
 
Wacha ujinga! Mpira sio bangi eti tuseme ikavutiwe kwenye uficho... dunia nzima imeona mmevyogaragwaza kwa uzwazwa wenu na kuzidiwa akili na mbinu. Usituletee siasa hapa za kusingizia vilivyo huko nje. Sasa kulikuwa na hujuma gani mule ndani?!

Na bado! Mna majivuno sana timu yenyewe ya waarabu na wahindi... nyie kutwa kelele πŸ€£πŸ‘πŸΎ
 
Wewe nenda kalale
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila leo nacheka had bas, mashabiki wenzangu wa Simba, tugange yajayoo bhana.

Mtaanza kuibua na yasiyokuwepoo khaaaah
Wew nae unazngua, simba unafanya nini huko.
Usimuogope mangungu wala try again.
Njoo yanga, tukuunganishe mpk CCM upewe na teuzi juu
 
Ni mpira tu, hamna jipya... Arsenal aliwahi fungwa 8, Brazil 7, Utopolo 6, Man U 6, Barca 11, R. Madrid 16, leo Simba 5 ni kawaida tu
 
Maneno mengi hayasaidii, asiyekubali kushindwa si mshindani, kula chuma hicho.
 
Kwahiyo nawe ulikuwa unamsikiliza Ahmed Ally na upuuzi wake wakati mpira unachezwa hadharani na unauona...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Visingixzo tu. Mpira umechezwa tumeuona. Referee kafanya makosa ya kibinadamu ya kawaida. Simba ilimudu kuizuia yanga dk 45 za kwanza.
Sema Simba hawana pumzi ya kukimbizana na akina mzize watoto makinda kulinganisha na kina muhamed husein. Simba ina wazee wengi.
Hakuna team yenye wazee karne ya 21 inakuwa salama inapokutana na vijana wenye ujuzi. Unakumbuka Spain ilivyochezea kichapo Kombe ka Dunia kisa wazee.
Fanyeni mabadiriko msilie lie mpira ni sayansi.
Yangu tulifeli sana tuliponga'ang'ania wazeee wa zamani kuongoza timu.
Kwa hio toeni hao wazee kwenye timu.
Ahmed Ally hawafai tena. Yule ni mvaa tsi tu ntoto wa mjini anawahada kwa maneno matamu, mkiendelea kuona mnahujumiwa mtashangaa yatakayowakuta mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…