Hongereni 'Mortuary Attendant' wa Tanzania, ila usiombe Nduguyo afie India halafu uje uipokee Maiti yake waliyoiandaa Wao huko

Hongereni 'Mortuary Attendant' wa Tanzania, ila usiombe Nduguyo afie India halafu uje uipokee Maiti yake waliyoiandaa Wao huko

Mwili umekatwakatwa, tobo la Mpira aliokuwa akiutumia Kulia Chakula halikuzibwa vizuri, Mishono mingi isiyo ya Ulazima huku Dawa ikiwa si nyingi.

Bahati nzuri hata Mortuary Attendant wa Tanzania aliyeupokea Mwili husika katika hiyo Hospitali tuliyomuhifadhi nae alishangaa na Kusikitika mno huku akiwalaani vikali Wenzake wa huko nchini India Mwili ulikotokea.
Aisee hapo kuna vitu vitakuwa vimetolewa bilashaka
 
Kazi niliyoipenda na kuifanya kwa moyo wangu wote na weledi mkubwa kabisa
[emoji1787] mtani bana.

Niliwahi sikia miaka mingi iliyopita kuwa mtu akifia India huo mwili unateswa sana yaani unakunjwa and sometimes mifupa wanaivunja ili uingia kwenye kibox cha mizigo.

Niliwahi pokea mwili wa mtu mmoja maarufu miaka hiyo mkoa fulani alifia India. Walipoupokea mwili airport moja kwa moja kuelekea mkoani,

Niliogopa nilipoona kile kisanduku, kuuliza nikaambiwa its economic.

Kweli mwenye mgonjwa ukiona hali inazidi kuwa mbaya ni vema umrejeshe tu nyumbani.
 
Kuna Maiti nimetoka kuipokea na kwenda Kuihifadhi Hospitali fulani Jijini Dar es Salaam ila baada ya Kuifungua ili ianze kuwa treated ikitokea nchini India alikofia kiukweli nimeamini Waafrika tunadharaulika mno na hawa Wahindi siyo Watu japo hapa Tanzania tunawapenda na hata Kuwanyenyekea vile vile.

Huko nyuma pia niliwahi kubahatika katika Kushughulikiwa Mwili ( Maiti ) iliyokuwa ikiandaliwa ( treated ) tayari kusafirishwa kwenda nchi fulani na kiukweli Mortuary Attendant wa Tanzania ( katika Hospitali husika ) waliuandaa Mwili vizuri kabisa, Kiutaalam, Kiupendo na Kiutu kabisa na naamini hata Walioupokea huko ulikoenda walishukuru na kuridhika nao.

Mwili ( Maiti ) niliyoipokea leo kutoka nchini India ( nilikoamini kuwa kuna Watu makini na Weledi ) baada ya kufika na kuikagua tayari kwa Kuiandaa kwa Kuagwa Kesho imenifanya niamini kuwa kumbe Waafrika ( hasa Watanzania ) ambao ni Mortuary Attendant wana Utu, Hekima na Ustaarabu sana katika Kuandaa Miili ya Marehemu Wetu lakini imenifanya nianze Kuwachukia Wahindi na kuamini kuwa kumbe ni Watu wenye Roho Mbaya na hawana Ubinadamu.

Ushauri wangu ( na silazimishi ) kama utakuwa na Ndugu yako nje ya nchi hasa nchini India kama mkiona dalili za Kupona hazipo tafadhali upesi sana mrudisheni tu Tanzania aje afie huku ili apate treatment nzuti ya Mortuary Attendant wa Kitanzania ila mkiacha wafie nje ( hasa huko India ) wakija huku katika Jeneza ( ambalo hugeuka kuwa Cargo ) tegemeeni kukutana na Makwazo na Uchungu mkubwa pale mkiupokea.

R.I.P Marehemu wote nchini Tanzania.
Hueleweki ulichoandika usemi wameandaa vip
 
Wahindi huwa wanachoma moto marehemu hivyo inawezekana wana uzoefu mdogo sana kwenye uhifadhi wa miili ya binadamu haswa ikiwa ninkwa madhumuni ya kusafirisha.

Japo suala la ubaguzi linaweza kuhusika pia.
Inawezekana duniani waafrika wanaongoza kulalamika kuhusu ubaguzi, Tunatakiwa kujitafakari sana, kwa nini sisi ni walalamishi kwenye almost mambo yote duniani kasoro kwenye ngono tuu.
 
Hili la Kumpunguza Viungo vyake vya ndani kwa Maiti yoyote ile inayosafirishwa kutoka nchi za mbali ni la Kawaida kwani vikiachwa Maiti itanuka vibaya kwakuwa hivyo Viungo huoza kwa haraka sana.

Concern yangu ni Mwili kuandaliwa kwa Kulipua lipua, Kutokuujali na kuupa tu treatment ya kutimiza wajibu kiasi kwamba inaibua Hisia kuwa huenda Wahindi wanatudharau sana Sisi Waafrika.

Nimesikitika mno.
Sasa kama mnahisi wahindi wanawadharau, nyinyi mnashindwa nini kuwadharau na wao ?

Mnawaogopa?
Wamewazidi uwezo?
Mmekatazwa ?
 
Na sidhani kama ameandaliwa vibaya bali kuna baadhi ya viungo vimemis, hii hutokea hasa viungo kama moyo na huwa wanatoa kwaajili ya kujifunzia. Dada yangu alifariki KCMC walipita na moyo kwaajili ya kujifunzia.

Ok mkuu.. ajafunua andiko uzuri.. sasa napata mwanga kiongozi.. nimeona tena
 
Kuna Maiti nimetoka kuipokea na kwenda Kuihifadhi Hospitali fulani Jijini Dar es Salaam ila baada ya Kuifungua ili ianze kuwa treated ikitokea nchini India alikofia kiukweli nimeamini Waafrika tunadharaulika mno na hawa Wahindi siyo Watu japo hapa Tanzania tunawapenda na hata Kuwanyenyekea vile vile.

Huko nyuma pia niliwahi kubahatika katika Kushughulikiwa Mwili ( Maiti ) iliyokuwa ikiandaliwa ( treated ) tayari kusafirishwa kwenda nchi fulani na kiukweli Mortuary Attendant wa Tanzania ( katika Hospitali husika ) waliuandaa Mwili vizuri kabisa, Kiutaalam, Kiupendo na Kiutu kabisa na naamini hata Walioupokea huko ulikoenda walishukuru na kuridhika nao.

Mwili ( Maiti ) niliyoipokea leo kutoka nchini India ( nilikoamini kuwa kuna Watu makini na Weledi ) baada ya kufika na kuikagua tayari kwa Kuiandaa kwa Kuagwa Kesho imenifanya niamini kuwa kumbe Waafrika ( hasa Watanzania ) ambao ni Mortuary Attendant wana Utu, Hekima na Ustaarabu sana katika Kuandaa Miili ya Marehemu Wetu lakini imenifanya nianze Kuwachukia Wahindi na kuamini kuwa kumbe ni Watu wenye Roho Mbaya na hawana Ubinadamu.

Ushauri wangu ( na silazimishi ) kama utakuwa na Ndugu yako nje ya nchi hasa nchini India kama mkiona dalili za Kupona hazipo tafadhali upesi sana mrudisheni tu Tanzania aje afie huku ili apate treatment nzuti ya Mortuary Attendant wa Kitanzania ila mkiacha wafie nje ( hasa huko India ) wakija huku katika Jeneza ( ambalo hugeuka kuwa Cargo ) tegemeeni kukutana na Makwazo na Uchungu mkubwa pale mkiupokea.

R.I.P Marehemu wote nchini Tanzania.

Poleni sana ila umeweka maelezo mengi alaf hayana content kabsa….
 
Kuna Maiti nimetoka kuipokea na kwenda Kuihifadhi Hospitali fulani Jijini Dar es Salaam ila baada ya Kuifungua ili ianze kuwa treated ikitokea nchini India alikofia kiukweli nimeamini Waafrika tunadharaulika mno na hawa Wahindi siyo Watu japo hapa Tanzania tunawapenda na hata Kuwanyenyekea vile vile.

Huko nyuma pia niliwahi kubahatika katika Kushughulikiwa Mwili ( Maiti ) iliyokuwa ikiandaliwa ( treated ) tayari kusafirishwa kwenda nchi fulani na kiukweli Mortuary Attendant wa Tanzania ( katika Hospitali husika ) waliuandaa Mwili vizuri kabisa, Kiutaalam, Kiupendo na Kiutu kabisa na naamini hata Walioupokea huko ulikoenda walishukuru na kuridhika nao.

Mwili ( Maiti ) niliyoipokea leo kutoka nchini India ( nilikoamini kuwa kuna Watu makini na Weledi ) baada ya kufika na kuikagua tayari kwa Kuiandaa kwa Kuagwa Kesho imenifanya niamini kuwa kumbe Waafrika ( hasa Watanzania ) ambao ni Mortuary Attendant wana Utu, Hekima na Ustaarabu sana katika Kuandaa Miili ya Marehemu Wetu lakini imenifanya nianze Kuwachukia Wahindi na kuamini kuwa kumbe ni Watu wenye Roho Mbaya na hawana Ubinadamu.

Ushauri wangu ( na silazimishi ) kama utakuwa na Ndugu yako nje ya nchi hasa nchini India kama mkiona dalili za Kupona hazipo tafadhali upesi sana mrudisheni tu Tanzania aje afie huku ili apate treatment nzuti ya Mortuary Attendant wa Kitanzania ila mkiacha wafie nje ( hasa huko India ) wakija huku katika Jeneza ( ambalo hugeuka kuwa Cargo ) tegemeeni kukutana na Makwazo na Uchungu mkubwa pale mkiupokea.

R.I.P Marehemu wote nchini Tanzania.
Wahindi wako dini tofauti tofauti,wapo wahindi Baniani(wanachoma moto maiti),Wapo wahindi waislamu(wanazika maiti,bila jeneza),wapo wahindi wakristo(wanazika na jeneza),Wapo wahindi,Budha,wapo wahindi(dini ndogo ndogo,nyingine nyingi tu).Wapo wahindi ,hawana dini kabisa(wanazikana vyovyote alivyoacha wosia,maiti au ndugu zake waamuwe wamzike vipi.
Sasa huyo maiti wako,ungejuwa aliandaliwa na wapi katika makundi hayo,na huyo ndugu yako ni wa dini gani.Kwa maana kama ni mkristo,hao ndugu waliokuwa hospital wangewasiliana na viongozi wa kanisa husika,na kama ni Muislamu ,pia wangewasiliana na viongozi wa msikiti.Wakapewa msaadawa kusaidia kuandaliwa,,mnavyotaka.
Wakulaumiwa,ni hao waliofuatana na huyo marehemu,huko India.
Wapo waislamu wengi,walipelekwa wagonjwa India,ndugu zao,wakaamuwa wazikwe India,na wamezikwa huko India,kwa taratibu zote za kiislamu.
 
Back
Top Bottom