Hongereni 'Mortuary Attendant' wa Tanzania, ila usiombe Nduguyo afie India halafu uje uipokee Maiti yake waliyoiandaa Wao huko

Hongereni 'Mortuary Attendant' wa Tanzania, ila usiombe Nduguyo afie India halafu uje uipokee Maiti yake waliyoiandaa Wao huko

In just bits papi! The question are to be answered so briefly... it will do for today[emoji4]
 
Umeandika nini sijui unajua wewe mwenyewe.
Sasa kama unajulikana huna Akili Jamiiforums nzima utawezaje Kuelewa nilichokiandika hapa ambacho kwa bahati nzuri Wachangiaji wengine Wote wenye Akili Kukuzidi wamenielewa vyema na wanachangia Kiuweledi?
 
Kaza hivyo hivyo na Tafsida, usiwaambie umeona nini kwenye mwili.
 
Sasa kama unajulikana huna Akili Jamiiforums nzima utawezaje Kuelewa nilichokiandika hapa ambacho kwa bahati nzuri Wachangiaji wengine Wote wenye Akili Kukuzidi wamenielewa vyema na wanachangia Kiuweledi?
Hapo unajiona una akili sana, pathetic..
 
Uzuri wa fake IDs, hakuna anayekujua kuwa unajua kiingereza Cha ras Simba.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Easy bro! Breathe😂in🤣out! Usiumie bro.., cause those who dont know english always amounts to so much in life. Who know maybe you too when you grow up you ought to become president of this country like this gone friend of yours jiweee kweri kweri
 
Back
Top Bottom