Hongereni Mtibwa

Hahahaaa. Wacha tu Mtani ila ndio mpira ule.

Na siku zote penalti huwa hazina mwenyewe lakini mtani ujue.
Pole sana...lakini mmejitahidi kweikwei.
Ninachokiamini,ndicho ulichokisema.Penalti hazina mwenyewe.
 
Hahaaa. Sawa mtani.

Ndio kilichobakia tu sasa macho na masikio yote VPL. Teh
Mtatuongezea ugumu VPL...hasa mipango yenu ya ujanja ujanja ile.
Teh teh teh teh teh teh teh.
 
kweli mkuu azam foward zao utoto umewatawala dogo km zaidy akiegemewa kdogo tu anatoka kwenye reli....azam wanahitaji watu wa kazi pale mbele hawa madogo wanahitaji kupewa muda kdogo ili wakomae
 
kweli mkuu azam foward zao utoto umewatawala dogo km zaidy akiegemewa kdogo tu anatoka kwenye reli....azam wanahitaji watu wa kazi pale mbele hawa madogo wanahitaji kupewa muda kdogo ili wakomae
Ahsante kwa kuliona hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…