Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Dada mimi umri wako unanihusu nini?au naujulia wapi?Umri huu bado unawaza ujinga huo?
safari hii tunalipiga mtungo jinga lileUto ni goma letu limetangulia geto halafu anachagua wa kwenda kumpelekea moto! 🤣
Na nyie mjiandae tu kupanua miguu, Azam wamebana wee hatimaye wamepanua miguu.Kwanza naomba niwape pongezi wachezaji wa Azam kwa ushindi ambao wameupata leo kwa kuiondoa Simba. Simba ni level za Biashara ndo ataenda cheza nao.
Sisi Wakubwa tunakutana FAINAL YA AZAM F.CUP.
Match ilikuwa nzuri lakini Ubora wa Azam umeamua matokeo ya match hii. Simba match ya Tarehe 3/07 hii hamwezi ikwepa. Tutawapiga kama ambavyo leo mmepigwa na Azam.
Sawa!!!Kwanza naomba niwape pongezi wachezaji wa Azam kwa ushindi ambao wameupata leo kwa kuiondoa Simba. Simba ni level za Biashara ndo ataenda cheza nao.
Sisi Wakubwa tunakutana FAINAL YA AZAM F.CUP.
Match ilikuwa nzuri lakini Ubora wa Azam umeamua matokeo ya match hii. Simba match ya Tarehe 3/07 hii hamwezi ikwepa. Tutawapiga kama ambavyo leo mmepigwa na Azam.
Na mitusi yake aneshakula ban kudadadeqkama kawaida yake chizi keshatelekeza uzi wake!! Hapa hatii mguu!!