Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kwanza naomba niwape pongezi wachezaji wa Azam kwa ushindi ambao wameupata leo kwa kuiondoa Simba. Simba ni level za Biashara ndo ataenda cheza nao.
Sisi Wakubwa tunakutana FAINAL YA AZAM F.CUP.
Match ilikuwa nzuri lakini Ubora wa Azam umeamua matokeo ya match hii. Simba match ya Tarehe 3/07 hii hamwezi ikwepa. Tutawapiga kama ambavyo leo mmepigwa na Azam.
Sisi Wakubwa tunakutana FAINAL YA AZAM F.CUP.
Match ilikuwa nzuri lakini Ubora wa Azam umeamua matokeo ya match hii. Simba match ya Tarehe 3/07 hii hamwezi ikwepa. Tutawapiga kama ambavyo leo mmepigwa na Azam.