2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
hata Prince Charles alioa mke wa mtu ambaye ndie anaishi nae hadi leo na malkia kakubali...alimuacha mkewe marehemu Diana aliyemkuta bikira na kumzalia watoto wawili. ila mapenzi yakawa kuleeee kwingine
Sasa inaonyesha wazi unakubali kabisa kwenye hii ndoa, Diamond amepatikana...
