Hongereni sana Machame girls, hakika Mmeng'aa Sana Matokeo ACSEE 2022,Marium na Stella mmeipaisha Serikali ya awamu ya 6

Hongereni sana Machame girls, hakika Mmeng'aa Sana Matokeo ACSEE 2022,Marium na Stella mmeipaisha Serikali ya awamu ya 6

Kwakweli shule za serikali zimeanza kurudi kwenye ubora wake uliokuwepo mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90, shule za binafsi baada ya serikali kuzuia haya mambo ya kuchuja wanafunzi sasa nyingi zimerudi kwenye uhalisia wa kufaulisha, sio wa kuigiza.
 
Kwakweli shule za serikali zimeanza kurudi kwenye ubora wake uliokuwepo mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90, shule za binafsi baada ya serikali kuzuia haya mambo ya kuchuja wanafunzi sasa nyingi zimerudi kwenye uhalisia wa kufaulisha, sio wa kuigiza.
Kwani hiyo ipo kumi Bora au wachaga wanapenda kik tu 😅😅😅kama haipo ni utopolo tu
 
Kwakweli shule za serikali zimeanza kurudi kwenye ubora wake uliokuwepo mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90, shule za binafsi baada ya serikali kuzuia haya mambo ya kuchuja wanafunzi sasa nyingi zimerudi kwenye uhalisia wa kufaulisha, sio wa kuigiza.
Kwann shule za serikali hazionekani O'level, Kama huko sawa kichwani utajua ni kwann serikali nang'aa A'level na sio O'level
 
Wamejitahidi ila kwa jinsi watoto walivyopelekeana moto mwaka huu basi hawapaswi kuanzishiwa uzi. Hao ni wa kawaida sana. Mazinde katawala 10 bora ya wanafunzi waliofanya vizuri ila kumi bora kama shule haijaingia.
 
Kwakweli shule za serikali zimeanza kurudi kwenye ubora wake uliokuwepo mpaka mwanzoni mwa miaka ya 90, shule za binafsi baada ya serikali kuzuia haya mambo ya kuchuja wanafunzi sasa nyingi zimerudi kwenye uhalisia wa kufaulisha, sio wa kuigiza.
Zilianza kurudi enzi za magu manyumbu yakawa yanasema data zinapikwa
 
Back
Top Bottom