Hongereni sana Watani

Hao waarabu wenyewe hamna kitu,kombe linarudi dsm mwaka huu,hamna namna,mtatunanga mwaka mzima ila ndo hvyo yanga hawezi kufungwa na USM ALGIERS.
Ili Maneno yako yatimie kama mechi inaanzia kwa Mkapa Yanga imalize mechi kwa Mkapa.

Na nawaomba wana yanga wote timu inahitaji support ya full house tickets zianze kuuzwa sasa.
 
Hao waarabu wenyewe hamna kitu,kombe linarudi dsm mwaka huu,hamna namna,mtatunanga mwaka mzima ila ndo hvyo yanga hawezi kufungwa na USM ALGIERS.
Wale watajifanya kujabna falsafa zao. Huku wanapigwa kimoko na kwao wanaenda kutoa sare
 
Huu ndio uungwana sasa. Tunashukuru sana na mtuombee tumtapishe tende na halua muarabu hiyo tar 28 pale Mkapa Stadium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…