Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
mafanikio haya ni faida kwa simba na kiwango cha mpira Tz. Ule woga wa kufika fainali kwa timu zetu umetoweka.Umeanza masononeko mrembo wangu kwa hii Yanga inabidi ufumbe macho tu ndio uvuke mto..
Ukizeeka utakuwa mchawi, jifunze kuappreciate.Moyo unataka akili inagoma..
Hongera mkuu, true football fanWananchi mmekuwa na msimu bora kabisa, naiona treble msimu huu yaani NBC,FA,na CAFCC.
Kazi nzuri sana,hongera sana kwa nabi,na rais ..
View attachment 2625667
Kibali ya ishe we mremboMoyo unataka akili inagoma..
Mtani kubali tu akili na moyo, hamna namna..!!Moyo unataka akili inagoma..
Unajuaje kama sasa hivi sio mchawiUkizeeka utakuwa mchawi, jifunze kuappreciate.
π π π πUmeanza masononeko mrembo wangu kwa hii Yanga inabidi ufumbe macho tu ndio uvuke mto..