Kwanza mimi siyo mwalimu na siwezi kuwa mwalimu.eiza wewe ni mfanyakaz wa hiko chama au.....so mi naona viundwe vyama vingine na watu wa chague wenyewe ili kuleta ushindani hiki chama sitokisahau kilipo mpunja mzee wangu badala apate m150 wakampa 70 amefuatilia saiz mwaka wa 9 na hakuna kinacho endelea kama
Unafikiri vyama vya wafanyakazi vinaundwa kiholela tu kama vikundi vya kufa na kuzikana ?eiza wewe ni mfanyakaz wa hiko chama au.....so mi naona viundwe vyama vingine na watu wa chague wenyewe ili kuleta ushindani hiki chama sitokisahau kilipo mpunja mzee wangu badala apate m150 wakampa 70 amefuatilia saiz mwaka wa 9 na hakuna kinacho endelea kama
nazan umenielewaKwanza mimi siyo mwalimu na siwezi kuwa mwalimu.
Huyo mzee wako alipunjwa nini? kwahiyo hoja yako hukipendi chama kwa sababu kilimpunja mzee wako au kwa sababu hakitetei maslahi ya walimu ?
kikubwa nimeeleweka hayo mengn juu yakoUnafikiri vyama vya wafanyakazi vinaundwa kiholela tu kama vikundi vya kufa na kuzikana ?
Bora kujipigania Kila Mtu na lake kuliko hawa Wahuni waliotekwa na serikali.Wanatakiwa kukisimamia kibadilike lakini siyo kushangilia kikishughulikiwa na serikali.
Workers union zikidhoofishwa na serikali wafanyakazi wanakuwa watumwa, na hakuna wa kuwatetea.
Mbona kipindi cha kina Mkoba kilikuwa active kupigania maslahi ya walimu kuliko union zote nchini ?
Serikali imeshaona hatari ya chama cha walimu kujanjaruka huko mbele kwa sababu viongozi wake wengi ni projection za utawala......Hili likifanyika serikali itaheshimika sana
We jamaa Wacha washangilie,hicho chama kinachangia kuwakandamiza walimuWalimu wanashangilia chama chao kudhoofishwa nguvu na serikali???
Walimu wa nchi hii ni specie tofauti kabisa na walimu wa mataifa mengine.
Wewe utaweza kupigania maslahi yako alone dhidi ya serikali ?Bora kujipigania Kila Mtu na lake kuliko hawa Wahuni waliotekwa na serikali.
Tatizo ni viongozi wao siyo chama.We jamaa Wacha washangilie,hicho chama kinachangia kuwakandamiza walimu
Ni bora kuwa mtumwa kwa mmoja (serikali) kuliko kuwa mtumwa wa serikali na vyama UCHWARATatizo ni viongozi wao siyo chama.
Trade union zikifa wafanyakazi watakuwa watumwa.
Vifuteni muoneNi bora kuwa mtumwa kwa mmoja (serikali) kuliko kuwa mtumwa wa serikali na vyama UCHWARA
Anayetakiwa kuvifuta ni Nani?Vifuteni muone