Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Yanga alieiharibu ni Manji,so from there wakaishi na mfumo huo huo hadi leoUtajiri wa michongo! Umeshawahi kujiuliza kwa nini Yanga ilichoka sana kipindi Mwendazake na sasa hivi ina pesa za kusajili na kununua mechi?
Wewe ni mchocheziKuna refa mmoja wa ligi kuu nafahamiana naye (namuhifadhi kwa jina kuepusha uzi kufungiwa) na huwa nawasiliana nae sana, kiukweli ananimbia uchafu mwingi unaofanywa na kigogo mmoja wa timu yetu kwa kumhonga refa huyo kila achezeshapo mechi ya yanga! [emoji17][emoji17]
SIKUAMINI MPAKA AKANIONESHA SMS ZA UCHAFU NA MIAMALA YA PESA!View attachment 2382131
HAPA NDIPO TUNAPOKOSEA WANAYANGAUnataka Hers afanye nini zaidi ya kutusajilia wachezaji?
Unataka hers akacheze? Unataka Nabi afanye nini zaidi ya kile kikosi na ile mbinu unataka nini tena
Kweli kwa mech moja unakimbilia kusema et hers out nabi out iv kweli tulitembeza bakuli miaka 4 full vilio
Leo hii timu inakwenda inalipa mshahara inalipa posho na kila kitu coz ya huyo Hers
Hers yupo kwa ajili ya Gsm
Wawekezaji wengine wanakuja coz timu inafanya vzuri ndani eg sportpesa na azam
Mi ningekuona kma kweli shabiki wa yanga ungetoa ushauri kuliko kuanza kusema fulan atoke!
Unakuja kusema et yanga inatoa rushwa kwa refa sasa point ipi hapa
Kwahiyo tulivyowafunga wale Zalan tulionga?
@moi wa kitaa out nimegundua wewe ni moja kati ya viongozi wanaonufaika na timu yetuUwezi kuwa shabiki wa yanga wewe!! Hapo umesema timu imefanya usajili mkubwa halafu unasema tena hers out! Iv huwo usajili mkubwa kafanya nani!? Umesahau ya miaka 4 iliyopita
Hahahaha mkuu mi kapuku tu kutoka morogoro@moi wa kitaa out nimegundua wewe ni moja kati ya viongozi wanaonufaika na timu yetu
Ondoka zako bhn, usituletee fitina klabuni
Nani simba sasa?? We jamaa acha mambo yako ya ajabu??Hahahaha mkuu mi kapuku tu kutoka morogoro
Lakin ukweli usemwe nyie mashabiki wa simba mnataka kutuchinganisha tu