Tariq f
JF-Expert Member
- Dec 11, 2021
- 233
- 347
Salute wakuu.
Napenda kuwapongeza wanalunyasi kwa ushindi mnono walioupata dhidi ya Waangola, hakika kweli SIMBA nyie ni wakimataifa.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwakilisha pongezi zangu zote Simba kwa niaba ya Wanayanga wote.
Hakika mmetanguliza mguu mmoja kwenye hatua ya makundi.
Ila nasikitishwa sana na baadhi ya Wanayanga wenzangu wabishi wasiotaka mabadiliko ndani ya klabu yetu. Najiuliza Je, hawaoni wivu jinsi Simba anavyotusua anga?
Akili zetu zilivyo za kipumbavu tunataka tuifunge Simba tu ndiyo mioyo yetu inaridhika!!
Kiukweli sipendi kuongea mengi mno kuhusiana na mambo mengi nayoyajua yanayoendelea kwenye klabu.
Hata mtu mjinga unashindwa kujiuliza kwa nini kila siku sisi? Yaani tuwe vizuri ndani ila nje majanga? Namungo wa juzi atupite viwango vya CAF?
HAIINGII AKILINI KABISA!
Kuna refa mmoja wa ligi kuu nafahamiana naye (namuhifadhi kwa jina kuepusha uzi kufungiwa) na huwa nawasiliana nae sana, kiukweli ananimbia uchafu mwingi unaofanywa na kigogo mmoja wa timu yetu kwa kumhonga refa huyo kila achezeshapo mechi ya yanga! [emoji17][emoji17]
SIKUAMINI MPAKA AKANIONESHA SMS ZA UCHAFU NA MIAMALA YA PESA!
Nimeamua kuongea tu ukweli kuhusiana na hali halisi kuhusu yanayoendelea klabuni jamani.
KAMA KUNA YANGA NITAKUWA NIMEMKOSEA ANISAMEHE TU MAANA NIPO KWENYE KUJENGA NA SI KUBOMOA. NAUMIA NA SUALA HILI.
Sipendi uchonganishi na wala sipendi kuiongelea vibaya Yanga ila kiukweli niseme imetosha Yanga kufanya huu uchafu ipo siku nyie viongozi mtakuja kuumbuka
TUACHIENI YANGA YETU, YANGA SI KITEGA UCHUMI!
#𝙝𝙚𝙧𝙨𝙞 𝙤𝙪𝙩
#𝙣𝙖𝙗𝙞 𝙤𝙪𝙩
Napenda kuwapongeza wanalunyasi kwa ushindi mnono walioupata dhidi ya Waangola, hakika kweli SIMBA nyie ni wakimataifa.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwakilisha pongezi zangu zote Simba kwa niaba ya Wanayanga wote.
Hakika mmetanguliza mguu mmoja kwenye hatua ya makundi.
Ila nasikitishwa sana na baadhi ya Wanayanga wenzangu wabishi wasiotaka mabadiliko ndani ya klabu yetu. Najiuliza Je, hawaoni wivu jinsi Simba anavyotusua anga?
Akili zetu zilivyo za kipumbavu tunataka tuifunge Simba tu ndiyo mioyo yetu inaridhika!!
Kiukweli sipendi kuongea mengi mno kuhusiana na mambo mengi nayoyajua yanayoendelea kwenye klabu.
Hata mtu mjinga unashindwa kujiuliza kwa nini kila siku sisi? Yaani tuwe vizuri ndani ila nje majanga? Namungo wa juzi atupite viwango vya CAF?
HAIINGII AKILINI KABISA!
Kuna refa mmoja wa ligi kuu nafahamiana naye (namuhifadhi kwa jina kuepusha uzi kufungiwa) na huwa nawasiliana nae sana, kiukweli ananimbia uchafu mwingi unaofanywa na kigogo mmoja wa timu yetu kwa kumhonga refa huyo kila achezeshapo mechi ya yanga! [emoji17][emoji17]
SIKUAMINI MPAKA AKANIONESHA SMS ZA UCHAFU NA MIAMALA YA PESA!
Nimeamua kuongea tu ukweli kuhusiana na hali halisi kuhusu yanayoendelea klabuni jamani.
KAMA KUNA YANGA NITAKUWA NIMEMKOSEA ANISAMEHE TU MAANA NIPO KWENYE KUJENGA NA SI KUBOMOA. NAUMIA NA SUALA HILI.
Sipendi uchonganishi na wala sipendi kuiongelea vibaya Yanga ila kiukweli niseme imetosha Yanga kufanya huu uchafu ipo siku nyie viongozi mtakuja kuumbuka
TUACHIENI YANGA YETU, YANGA SI KITEGA UCHUMI!
#𝙝𝙚𝙧𝙨𝙞 𝙤𝙪𝙩
#𝙣𝙖𝙗𝙞 𝙤𝙪𝙩