Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Elections 2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

Mkuu nimekudharau sana, nilikuwa nakuheshimu. Wewe ukiwa kiongozi wa chama huu haukuwa wakati wa kusema haya maana taarifa si rasimi na muda wake haujafika, je maamuzi yakitenguliwa kabla ya kutangazwa, kama lengo lako ni kuwapa moyo watakaokatwa kionevu umepotea. Najua wewe umekatwa lakini umeahidiwa kitu, au wamekuahidi kuwa mwenyekiti wa CUF??
 
Nimekusoma bw Mtatiro umenena vyema na wengine muige mfano huo.
 
Haya naneno yamejaa hekima na busara.Ndugu yangu mtatiro nimewiwa kusema wewe ni shujaa wa siasa na Jina lako litaandikwa kwenye ukuta wa ukombozi.
 
ni wkt wa kuridhiana, nadhani mtatiro angeachiwa segerea japo najua yupo mpendazoe lkn mtatiro angefaa zaidi.

anyway, nakuunga mkono kwa kurudhia kwa roho safi, sio wkt wa kulumbana
 
Hingera sana mtatiro, umeongea maneno yenye busara tangu nikujue,,,,,wote tuige mfano. Adui yetu mkubwa ni ccm,,,,hongera Mtatiro hongera CUF
 
Ingekuwa vizuri chadema/UKAWA wangetuwekea list ya mgawanyo wa majimbo ulivyo mapema kabisa na watia nia wajue
 
mkuu nimekudharau sana, nilikuwa nakuheshimu. Wewe ukiwa kiongozi wa chama huu haukuwa wakati wa kusema haya maana taarifa si rasimi na muda wake haujafika, je maamuzi yakitenguliwa kabla ya kutangazwa, kama lengo lako ni kuwapa moyo watakaokatwa kionevu umepotea. Najua wewe umekatwa lakini umeahidiwa kitu, au wamekuahidi kuwa mwenyekiti wa CUF??

Kwa kumdharau Mtatiro ndio UKAWA itachukua nchi,,,,,hongera mtatiro kwa namna yoyote ile
 
Your so strong and wisest mara 1000000 kuliko mwenyekiti wako msaliti.... ningependa na vijana wengi wa segerea tulikua nyuma yako Julias Mtatiro tulijua utaongoza safu ya ushambuliaji mjengon
 
Ila ukifikiri sana huyu bwana ni muongo, anataka kupima na kwa jinsi gani anakubalika au kuwatisha viongozi wa UKAWA waone yeye anakubalika zaidi. Kimsingi asingepaswa kusema haya sasa sababu taarifa rasmi ya mgawanyo wa majimbo bado haijatoka....so alichokiandika hapa ni fununu tu..
 
Hongera sana Mtatiro kwa kauli yako iliyotukuka ndio ukomavu wa siasa ila pendekezo langu kwa ukawa wasimuache kamanda huyu kwenye haya mapambano ya uchaguzi ikiwezekana aongozane bega kwa bega na wagombea urais kwenye kampeni nchi nzima huyu jamaa kazi anaiweza.
 
Hongera sana! umeonesha ukomavu wa kisiasa na uzalendo kwa taifa.
 
dah! kweki Mtatiro unastahili heshima nyingi sana. Kwa moyo huu unapata nafasi kubwa inayokustahili siku zijazo.
 
duuuu usihofu wengi hatuna vyeo huko ukawa lakini tunapigia kampeni ukawa mabadiliko tuuendeleee
 
mkuu nimekudharau sana, nilikuwa nakuheshimu. Wewe ukiwa kiongozi wa chama huu haukuwa wakati wa kusema haya maana taarifa si rasimi na muda wake haujafika, je maamuzi yakitenguliwa kabla ya kutangazwa, kama lengo lako ni kuwapa moyo watakaokatwa kionevu umepotea. Najua wewe umekatwa lakini umeahidiwa kitu, au wamekuahidi kuwa mwenyekiti wa CUF??

Acha ushamba wewe hata kama ukimdharau utamsaidia nini? Acha wenye busara zao wafanye mambo?
 
Back
Top Bottom