Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana ila nilitamani kukuona bungeni katika harakati za kulikomboa taifa
mkuu nimekudharau sana, nilikuwa nakuheshimu. Wewe ukiwa kiongozi wa chama huu haukuwa wakati wa kusema haya maana taarifa si rasimi na muda wake haujafika, je maamuzi yakitenguliwa kabla ya kutangazwa, kama lengo lako ni kuwapa moyo watakaokatwa kionevu umepotea. Najua wewe umekatwa lakini umeahidiwa kitu, au wamekuahidi kuwa mwenyekiti wa CUF??
Huu ndio ukomavu wa kisiasa.
Kwa wale wanaosema watamkosa bungeni kwani kuna njia moja tu ya kufika bungeni? Hebu muulizeni Mbatia.
Musalan iweje leo uongee point kubwa hivi?
Mussa Allan Hongera ,sijui wamekwiba pass word yako?Any way offer ya Tshirt ya CDM iko palepale....
Julius Mtatiro B.A, M.A, LLB,
Mtia nia atakayewaunga mkono wagombea wa UKAWA jimbo la Segerea na nchi nzima,
Mapambano yanaendelea, ‪#‎IKISHINDA_UKAWA_TUMESHINDA_SOTE‬!
Musalan iweje leo uongee point kubwa hivi?
SEGEREA amepitishwa nani?
mkuu nimekudharau sana, nilikuwa nakuheshimu. Wewe ukiwa kiongozi wa chama huu haukuwa wakati wa kusema haya maana taarifa si rasimi na muda wake haujafika, je maamuzi yakitenguliwa kabla ya kutangazwa, kama lengo lako ni kuwapa moyo watakaokatwa kionevu umepotea. Najua wewe umekatwa lakini umeahidiwa kitu, au wamekuahidi kuwa mwenyekiti wa CUF??
Musalan iweje leo uongee point kubwa hivi?